Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mwenye dish la fut 15 nina shida nalo
1 Reactions
3 Replies
606 Views
Mwenye uhitaji wa line ya mpesa kwa ajili ya biashara ani PM bei ni 120000 tu.
0 Reactions
4 Replies
870 Views
Natafuta mteja wa air condition nimeitumia kwa mieezi mtatu tu. Nimeacha kuitumia baada ya kufunga biashara yangu ya Saloon ya kike. Kwa hiyo nimeamua kufungua aina nyingime ya biadhara ambayo...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Wakuu wa nchi Natumaini mnaendelea vizuri na huu mwendo kasi , Nina mpango wa kuhamia Dodoma na Nina scania tipper mende kwa ajili ya biashara yaani kubebea mchanga .Naomba kuuliza kama Kuna mtu...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Naitaji frem ya biashara dodoma shm yoyote.kwa mwenye ufahamu
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa mtu yoyote anaweza kunisaidia kupata shm ya kukodi kwa ajili ya carwash dodoma.thanks in advance 0719980816
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta display ya simu LG G Pro 2, mwenye nayo nicheki 0714495367
0 Reactions
0 Replies
776 Views
BEST HD Spy Wrist Watch 8GB Video Recorder Hidden Camera Waterproof Camcorder PRICE TSH 140000= Contact: Only serious buyer may call/ whatsuApp )0765428633 [emoji95]ONYO USIWEKE NAMBA YAKO SIMU...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa Dodoma ml 20 vyumba vinne na sebule kubwa IPO kwenye makazi bora ya nzuguni 0769057700
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kiwe katika maeneo ambayo tayari yameendelezwa, maeneo ambayo watu wameshajenga au ujenzi unaendelea...na kiwanja kiwa na hati miliki. Kiwanja kiwe na ukubwa usiopungua 1000 square meters. Kama...
1 Reactions
0 Replies
621 Views
NAUZA LEXUS IS 200 YA MWAKA 2002,VIBALI VYOTE VIPO NA NI NAMBA D' KWA ANAETAKA KUNUNUA ANI PM.BEI NI TSH 9,500,000/=MAELEWANO YAPO.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Shamba linauzwa liko Kiegea, karibu na Tungi Estate - Manispaa ya Morogoro Lina ukubwa wa heka 10, Bei Milioni 16 (mazungumzo yapo) Mawasiliano: 0712263764
0 Reactions
0 Replies
680 Views
Brands kati ya LG, Samsung au Star-X, mpya au used. Offer yangu ni sh. 600,000/= Hakikisha sio copy ya brand nilizo zitaja. Njoo PM naamini tutafikia makubaliano. Vizuri ikiwa na HDMI port 2 na...
1 Reactions
3 Replies
771 Views
Habari natoa fursa kwa vijana wote tunauza mayai 5500 ofice zetu ziko tabata atakaeuza tray 50 kwa siku atalipwa efu 10 kwa siku atakaeuza tray. 100 atalipwa efu 20 .kwa maelezo zaidi tupigie...
2 Reactions
4 Replies
774 Views
nauza laptop yangu ya dell d620 (roho ya paka)iliyo katika hali nzuri na safi. Specification 80gb HDD(utaongeza mwenyewe) 3gb ram Duo core@1.66ghz Battery ipo poa sana Problems Mstari mwembaba...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
NIMEONA TANGAZO KWENYE GROUP LA WHATSAPP JUU YA UZINDUZI WA BIDHAA ZA KILIMO MAHALI/;- chuo kikuu dar es salaam mkabala na UDASA Club. SIKU:- JUMAMOSI,DESEMBA 10,2016. Ila nimeshindwa kujua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KITABU cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi kinapatikana maeneo yafuatayo kwa Dar kwa mauzo ya jumla na rejareja. 1. Duka la House of Wisdom lilipo Posta Mtaa wa Samora Jengo la NHC ghorofa ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wasiliana nasi 0754 567120 kwa mahitaji yako ya mbolea poa ya kinyesi cha kuku jijini Dar es salaam.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jengo la ghorofa mbili linapangishwa. Jengo ni kubwa na la kisasa, lipo Tegeta Nyuki hatua chache kutoka kwenye kituo cha Daladala Tegeta Nyuki. Jengo hili lina huduma ya maji safi ya dawasco, pia...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…