Dadio
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 359
- 42
Tafadhali rejea kichwa cha habar hapo juu. Nahitaji kununua gari moja wapo hapo juu. Naomba ushauri juu ya gar hizi hasa uimara wake fuel consuption na pia kuhusu confortability. Pia mnaweza nishauri gar jingine ila lisizd cc 1500. ninaishi bunju na nahtaji usafiri wa kwenda posta na kurud kila sku pia kipato ni cha kawaida sana. Asnteni sana na karibuni.