Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau Kama kuna mtu anauza simu aina ya Tecno C 8 au C 9 au toleo lolote zuri naomba tuwasiliane PM. Simu iwe katika hali nzuri (isiwe imechoka). Mimi niko Dar Asanteni.
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Una nyumba ,kiwanja, shamba unahitaji kupangisha/kupanga, kuuza Au kununua! Pia kama una tangazo lolote la biashara, Bango jeupe Niko kwa ajili yako!! Whattp: +255 718 295 182 Au +255 753...
0 Reactions
1 Replies
916 Views
nahitaji kuku wakienyeji niko dar aliyetayali aweke bei na no.cm hapa
0 Reactions
3 Replies
919 Views
Mwenye kujua inapouzwa tafadhali nijulishe kuna bidhaa nataka kufungia
0 Reactions
2 Replies
871 Views
Laptop aina ya toshiba inauzwa betri nzima inatunza chaji ram 2GB,HD 500 tatizo lake ni mkanda au display bei yake 160k
0 Reactions
1 Replies
646 Views
Kuku chotara wanauzwa, jumla na rejareja bei @ 15,000. Nipo Dar 0784304930 email sepocho@yahoo.com karibuni kwa anayehitaji
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Nahitaji msaada yeyote anayejua wapi yanapatikana mashamba ya kukodi kwa maeneo ya Arusha. Mashamba yawe na maji. Naombeni msaaada
0 Reactions
3 Replies
3K Views
  • Closed
Kwa bei chee ya milion 3 na nusu tu hii ni fasta sale maongez yapo piga 0652472486 ni 1g kavu inayopendwa na wateja
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Nahitaji mashine ya kutengenezea juisi..iwe na matank mawili nipo dar ..nahitaj kwa aliyenaye anichek 0718864384
0 Reactions
1 Replies
767 Views
Habari nahitaji agents toka TZ join hii link FINANCING BROKERS ujifunze jinsi international project finance inavyofanya kazi 100% na uwe mmoja wa agent wangu upate connection na deals...
0 Reactions
3 Replies
701 Views
Safisha mwonekano wa ngozi yako na bidhaa nzuri kutoka oriflame kwa bei nafuu tu. Mawasiliano zaidi piga simu namba 0744947075 / 0654789958 geraldgervas10@gmail.com
0 Reactions
1 Replies
923 Views
Habari wana jf. Ninauza kiwanja ukubwa wa square metres 1200. Kipo nyegezi, malimbe karibu na st augustine university. Surveyed. Tsh mil 45.
0 Reactions
0 Replies
694 Views
Nauza vipodozi na dawa mbali mbali kwaajili ya ngozi, nywele na hata meno yako kwa bei nafuu
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Material Ni ngozi halisi Tsh. 20,000/= per pair Mikoani natuma ::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::: Whattspp: +255 7182 95 182 / +255 753 254 562
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Natafuta techno c8 isiszidi 150k mwenye nayo naomba ani PM please
1 Reactions
4 Replies
837 Views
nchi kuanzia25-32 weka bei hapa
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Wasalaam, Waungwana ninauza duka la vipodozi kwa bei ya jumla, duka lipo eneo zuri kibiashara na huhitaji kuongeza chochote. Duka lipo TABATA-Kinyerezi njia panda ya Tabata Kinyerezi na majumba...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Wanajamvi habari zenu,naombeni mnisaidie natafuta soko la kuuza magunia mapya ya mkonge.Asanteni
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi ni muuzaji wa samki sato karibuni sana,samaki safi sio mchina ukitaka walio kaangwa nakulekebishia nitafute nikupe maelekezo ahsanteni.
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina taaluma ya uhasibu na tafuta kazi ya taaluma hiyo contact-0682 767 711
0 Reactions
0 Replies
684 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…