nayashangaa matangazo ya kuuza line za miamala ya pesa!!! hizi zina mafungamano na sheria za benk. ziko chini ya miongozo ya benko kuu na zimesajiliwa kwa majina kwa kutumia nyaraka kuntu/muhimu/nyeti: valid business license, tin number, identity card. hizi sio nyaraka za kimagumashi. ni sawa na kuhalalusha kadi yako ya benk (yenye jina na pin) uiruhusu itumiwe na mtu mwingine kuweka na kutoa pesa kwa matakwa yake. kosa lolote la mtumiaji madhara humrudia mwenye jina. msichoke kuongeza fursa lkn kaeni chonjo pia!