Kuna kiwanja kinauzwa jirani mbezi Luis pr school, njia ya Goba unaingia Kama km 1 toka lami. 22*20m ni 12ml eneo lote limejengwa na nguzo ya umeme iko getini. Eneo limezungushwa nguzo na fencing...
UNAHITAJI KUSHINDA TENDA ZA GPSA?
Sisi Kimi Dev Consult Ltd, ni wataalam na wazoefu wa KUANDAA TENDER DOCS za kazi mbalimbali: Huduma na Usambazaji bidhaa, kwa Wateja Serikali na taasisi zake...
USISAHAU KULIPA KODI KWA MAENDELEO YA NCHI YETU.
Wadau ulimwengu huu wa kusaidiana KWA SISI WATANZANIA ,nipo chuo hapa ujeruman kwa sasa kama utahitaji chochote nikununulie toka hapa nitafanya...
Habari wanajamiiform kama kuna mtu ana vifaa vya saloon ya kike na hana pa kufanyia shuhuri yake kuna sehemu ipo wazi umeme upo na ni free haulipii ulinzi upo maana ni jeshini kodi elfu 30 tu...
Jipatie t shirts kali,zenye maneno atamu ya mapenzi kwa ajili ya mahusiano yako,kwa bei ya sh 15000 kwa moja. Piga simu namba 0621097301 kuweka order yako sasa.
Habarini wadau.
Kama tangazo linavyojieleza nauza Samsung J3 kwa Tshs 250k
Sababu ya kuuza ni kua m2 niliyemnunulia hajaipenda hivyo nahitaji kiasi kidogo niongeze ili ninunue simu nyingine...
Waungwana nahitaji msaada wenu wa kupata eneo /Frem kwa ajili ya biashara ya saluni ya kiume,
Pia nahitaji vifaa vyote muhimu kwa ajili ya kuanza kazi hiyo.
NOTE: Gharama za vifaa hivyo na eneo...
kiwanja kinauzwa metre 20*20 kipo metre 600 kutoka barabara kuu ya zMoshi Dar
vipo viwili
bei 5 mill kila kimoja
mawasiliano 0658825141
0621068486
email bonifacekcharles@gmail.com
Wakuu,
Naombeni msaada wa ukumbi gani mzuri wa harus utaotoshea watu 400,
nimejaribu Impala Mbezi, Promirose, Mbezigarden na Mirado zote zimejaa, harusi ni end of Feb.
Mnisaidie na number za...