KUNA WIZI MPYA UMEANZA KUSHIKA KASI HUMU HASA WANUNUAJI WENGI AMBAO NI MATAPELI.
Wakuu heshima kwenu wana jukwaa,
Kuna wizi mpya wa simu umeingia kwa kasi ya ajabu kuna watu wanachukua namba za...
Usiende kariakoo ni duka linalopatikana Sinza Madukani opposite na AAR HOSPITAL
Tunauza nguo,viatu(vya ofisini +raba) vya kike na kiume kwa bei nafuu kuliko kariakoo
Tunauza kwa jumla na...
Nahitaji Kiwanja Mwanza,maeneo ya Luchelele,Buswelu.Minimum Sq.metres 600, maximum 800 sq.metres.Kiwe Surveyed, Miundombinu ya Maji,umeme na Barabara iwepo.Mwenye nacho aje PM.Madalali si ruxa.
Naitwa William nipo shinyanga ,kama mnavyojua ukipatwa na shida ulichonacho ndo kinakusaidia ,nimekuja mbele yenu wadau kama sehemu ya kutatua shida yangu kupitia godoro langu
Ninauza jamani...
Biashara hii iko Mbezi mwisho, Kibanda cha Mkaa, iko sehemu iliyotulia na mzunguko wa watu ni mkubwa, ina kila kitu ni kuingiza vinywaji tu unaanza kazi. Bei yake ni pamoja na kodi ya miezi 5...
MAJAKI BATIKI FASHION ni wataalam wa kutengeneza na kufundisha Batiki aina zote (BATIKI, TIE & DYE, BREACH, VIKOI + KANGA BATIKI, PICHA BATIKI na aina zingine nyingi)
Tunafundisha kwa bei nafuu...
Kwa wakazi wote wa Morogoro tunapenda kuwakaribish Pweza Center iliyoko Masika, utajipatia supu ya pweza, chips za mwendokasi, na supu, ya kuku, na vyakula vingine vingi kwa bei poa na huduma zetu...
Tunachora Ramani za nyumba kutokana na kiwanja chako kwa bei nafuu sana, pia tunandaa structural and services drawings (plumbing and electrical drawings) kwa wale wanaohitaji, pamoja na BOQ. Kwa...
Tunaprint tshirts kwaajili ya familia,wapenzi,vijana,shule,kampuni,vikund.nk kwa gharama nafuu sana tuwasiliane kuweka order yako 065419108
Pia karibu uweke order yako ya tshirt za valentines day
Habari wana jamvi.
Hapa ni sehemu maalum ya kuuza Nyumba, kiwanja na shamba. Ni sehemu ya kukutanisha muuzaji na mnunuzi moja kwa moja au kupitia Dalali.
Habari na matangazo yatolewe kiusahihi...