Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

gari iko vizuri.... Imetembea km 80000,vibali vyote viko full,gari haina tatizo lolote Gari inauzwa 7.8mln....njoo ujikamatie gari...gari inapatikana dsm.. KWA mawasiliano piga sim 0715591141 Ova
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa yeyote anayefaham zinapopatika hizo machine anisaidie na bei zake 0716041254 farajn9519@gmail.com
0 Reactions
4 Replies
849 Views
habari za asubuh ndugu zangu samahani naulizia kwa anayefahamu mchakato mzima wa kuanzisha bishara ya kusambaza mboga mboga na matunda hasa kwenye hotels kubwa naombeni msaada
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu kwa anae hitaji meza ya kwa ajili ya biashara iwe ya chipsi ama yoyeto ile inayo itaji meza ni ya mbao bei maelewano kwa picha zaid nichek 0679043099.....
0 Reactions
4 Replies
810 Views
Habar wadau.. Kama kuna mtu yeyote anajua bei ya pikipiki(bodaboda) SAN LG kubwa nyekundu mpya ni sh ngapi, naomba anisaidie pleasee
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Habari wakuu kuna kiwanja kipo Mwanza Buswelu karibu kabisa na shule ya sekondari bidii ukubwa wa kiwanja ni 32*20 bei mil tatu na laki Saba Picha za eneo husika Karibuni sana kwa Maelezo zaidi...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Habari Ndugu, Nahitaji power cable na AC adapter ya dell inspiron n4010. Please include na bei unayouza na si kuniambia tuwasiliane
0 Reactions
3 Replies
576 Views
Tasisi Native Microfinance inataka kuajili watu wa kufanya kazi ya kutoa navkusimamia mikopo katika vikundi vya wajasiliamali maeneo ya mijini na vijijini. Hivyo watu wenye uzoefu na ufahamu mzuri...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nauza tv inch 42 aina ya Phillips kwa laki 650,000 tu ...karibu
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa anayefahamu utaratibu unaotumika kulipia mzigo/mizigo mbalimbali kwenye boda ya Tz na Uganda hasa kwa mzigo unaoweza kusafirishwa kwa basi, naomba anijuze tafadhali
0 Reactions
0 Replies
702 Views
Wadau leo nimeona vema kuwajulisha kuwa ninauza bidhaa za ubuyu pia natafuta masoko ndani na nje ya nchi: bidhaa ni; MAFUTA YA UBUYU, UNGA WA TUNDA LA UBUYU, SABUNI YA UBUYU, UBUYU LISHE N.K...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
NDUGU WANA JF.NINAUZA HIYO NYUMBA NILIYOITAJA HAPO JUU.NI NYUMBA YA 4 ROOMS(KIMOJA NI MASTER)HIZO ROOMS NYINGINE 3 WANATUMIA PUBLIC TOILET KILICHOPO NDANI YA HIYO NYUMBA.KWA NJE PIA KUNA PUBLIC...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
...kwa anayeuza pikipiki sina ya boxer kwa bei hiyo tuwasiliane
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Jipatie Kanzu nzur kutoka Al shareef pm me kwa maelewano
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Body ya Rosa bus inauzwa ipo kwenye hali nzuri kabisa tatizo Dereva alitembeza gari bila maji ikakaanga injini ukitaka utapewa na hiyo injini yake mbovu vingine vyote vizima tairi mpya roof safi...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Lenovo G500 Ram 4gb Processor duo core 1.9 MHz Hard disc 1 TB ( 1000 GB)
0 Reactions
1 Replies
770 Views
Nauza Pc aina ya HP processor : Intel(R) Celeron CPU N3060 @1.6Hz Installed memory RAM ; 4GB ( 3.85 GB USABLE) System type: 64 bit operating system inawarranty ya mwaka mzima nilinunua...
1 Reactions
3 Replies
795 Views
Wakuu Salaam, Kwa yeyote mwenye mbilimbi mbichi kuanzia ndoo 2 kwenda mpaka 500 tuwasiliane kupitia 0713177372 Hapa Biashara Tu! Picha ya Mbilimbi Mbichi
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Nauza toyota verossa Cc 2500 Kilometer 95622 Ipo Tanga Inatembea Haina tatizo lolote Haidaiwi chochote Safari ndefu ya mwisho ni March 2017 TANGA MBEYA then MBEYA LILONGWA Then LILONGWE Tanga Bei...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…