habari za asubuh ndugu zangu samahani naulizia kwa anayefahamu mchakato mzima wa kuanzisha bishara ya kusambaza mboga mboga na matunda hasa kwenye hotels kubwa naombeni msaada
Wakuu kwa anae hitaji meza ya kwa ajili ya biashara iwe ya chipsi ama yoyeto ile inayo itaji meza ni ya mbao bei maelewano kwa picha zaid nichek 0679043099.....
Habari wakuu kuna kiwanja kipo Mwanza Buswelu karibu kabisa na shule ya sekondari bidii ukubwa wa kiwanja ni 32*20 bei mil tatu na laki Saba
Picha za eneo husika
Karibuni sana kwa Maelezo zaidi...
Tasisi Native Microfinance inataka kuajili watu wa kufanya kazi ya kutoa navkusimamia mikopo katika vikundi vya wajasiliamali maeneo ya mijini na vijijini. Hivyo watu wenye uzoefu na ufahamu mzuri...
Kwa anayefahamu utaratibu unaotumika kulipia mzigo/mizigo mbalimbali kwenye boda ya Tz na Uganda hasa kwa mzigo unaoweza kusafirishwa kwa basi, naomba anijuze tafadhali
Wadau leo nimeona vema kuwajulisha kuwa ninauza bidhaa za ubuyu pia natafuta masoko ndani na nje ya nchi: bidhaa ni;
MAFUTA YA UBUYU, UNGA WA TUNDA LA UBUYU, SABUNI YA UBUYU, UBUYU LISHE N.K...
NDUGU WANA JF.NINAUZA HIYO NYUMBA NILIYOITAJA HAPO JUU.NI NYUMBA YA 4 ROOMS(KIMOJA NI MASTER)HIZO ROOMS NYINGINE 3 WANATUMIA PUBLIC TOILET KILICHOPO NDANI YA HIYO NYUMBA.KWA NJE PIA KUNA PUBLIC...
Body ya Rosa bus inauzwa ipo kwenye hali nzuri kabisa tatizo Dereva alitembeza gari bila maji ikakaanga injini ukitaka utapewa na hiyo injini yake mbovu vingine vyote vizima tairi mpya roof safi...
Nauza Pc aina ya HP processor : Intel(R) Celeron CPU N3060 @1.6Hz
Installed memory RAM ; 4GB ( 3.85 GB USABLE)
System type: 64 bit operating system
inawarranty ya mwaka mzima nilinunua...
Wakuu Salaam,
Kwa yeyote mwenye mbilimbi mbichi kuanzia ndoo 2 kwenda mpaka 500 tuwasiliane kupitia 0713177372
Hapa Biashara Tu!
Picha ya Mbilimbi Mbichi
Nauza toyota verossa
Cc 2500
Kilometer 95622
Ipo Tanga
Inatembea
Haina tatizo lolote
Haidaiwi chochote
Safari ndefu ya mwisho ni March 2017
TANGA MBEYA then MBEYA LILONGWA
Then LILONGWE Tanga
Bei...