Nauza subaru legacy

Nauza subaru legacy

uzeebusara

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2013
Posts
657
Reaction score
514
Habari wanaJf
Nauza gari yangu aina yenye maelezo kama ifuatavyo:-
Aina ya gari: Subaru
Model: legacy
Body: station wagon
YoM: 2005
Cc:1990
Transmission: automanual
Fuel used: petrol
Oddometer: 160,000km
Bei: 10.5mil negotiable
Namba yangu: 0659211222 (whatsapp inapatikana vilevile)
Maelezo ya ziada: Gari hii ni mali yangu mwenyewe na wala sihitaji dalali. Gari haidaiwi kibali chochote na haina tatizo lolote na ndiyo nayoitumia. Gari inapatikana na kuonwa muda wowote. Gari ni 4 cylinder
Sababu ya kuiuza hasa ni kutokana na kuwa chini sana.
Picha zake
 

Attachments

  • 1451823302851.jpg
    1451823302851.jpg
    82 KB · Views: 136
  • 1451823340716.jpg
    1451823340716.jpg
    82.9 KB · Views: 140
  • 1451823377499.jpg
    1451823377499.jpg
    81.2 KB · Views: 121
  • 1451823412618.jpg
    1451823412618.jpg
    74.1 KB · Views: 113
  • 1451823552518.jpg
    1451823552518.jpg
    60.9 KB · Views: 107
Naona mfumo mpya wa JF wa sasa hauruhusu kufungua picha, tatizo lipo wapi watalamu wa IT
Ni kweli mkuu nashangaa kwani hata kwangu mwenyewe picha hazitaki kufunguka. Sasa sijui nini tatizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom