Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Hii Inapangishwa iko kigamboni, kisota [emoji117]3 Rooms (2Masters) [emoji117] public Toilet [emoji117]sitting Room [emoji117]Dining Room [emoji117]kitchen [emoji117]Garden...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta mtungi wa jiko la gesi mdogo kwa bei nafuu. Kama unalo, Tafadhali nipm. Nipo Mbagala.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana jf Mimi naishi Moshi mkoa wa kilimamjaro nahitaji chumba kimoja chenye choo ndani ila kisiwe uswahilini kiwe maeneo ya karibu na chuo cha ushirika
0 Reactions
0 Replies
939 Views
Watanzania wenzangu,kumiliki biashara/kampuni (kwa maana ya limited company) na kujiajiri ndiyo siri ya mafanikio kwa Tanzania ya leo.Chukua hatua na ufungue kampuni yako na ujiiunue kiuchumi...
0 Reactions
1 Replies
635 Views
Salaam alaykum wana jukwaa.. natafuta muuzaji wa lotion za bath and wash na body splashes zake pamoja na splashes za victoria secret kwa bei ya jumla.. kama yupo ani pm plz.. shukran
1 Reactions
0 Replies
750 Views
Bid now Get it by your own price.....free shipping worldwide Look at this on eBay Geometric Caged Ring | eBay
1 Reactions
4 Replies
872 Views
Habari za wakati huu wapendwa , binafsi nimeyumba kiuchumi hivyo nimeamua kuuza angalau simu yangu ili nipate pesa niizungushe nipate kiasi kikubwa zaidi , kama unahiitaji ni pm . NOKIA X2-02 ni...
2 Reactions
50 Replies
4K Views
Gari aina ya mitsubish pajero inauzwa dar. Milioni 6 Mawasiliano 0675 334460
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari zenu wadau. Natafuta jiko la gesi lenye mtungi mdogo wa gesi(used) kwa tsh25000 iv. Fanya biashara popote ulipo nitajua jinsi gani mpango ufanyike.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
TANGAZO Mkuu wa chuo cha utalii (Njombe Institute of Tourism and Hotel Management) anawatangazia nafasi za Kazi katika fani zifuatazo:- 1. Teachers (tourism & tour guide) 2. Market Officers 3...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
*HABARI NJEMA* VKP (Real Estate) Company (yenye usajili no. *299964*) iliopo mbezi beach tang bovu ina huduma zifuatazo; kukopesha mashamba na viwanja kwa bei nafuu bila riba wala dhamana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau natafuta jiko la gesi na mtungi wake lilio kwenye hali nzuri. Niko mwanza kwa sasa!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Used, internal 8GB ram 1GB, megapixel 8 being fixed 140.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
.
0 Reactions
4 Replies
892 Views
Nauza shamba la heka tatu Kigamboni, Mwasonga karibu na kiwanda cha cement cha nyati, linafaa kwa kilimo na makazi, kuna kisima pia. Heka moja ni milioni 5.Karibuni.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nauza kiwanja Bagamoyo Kiromo si mbali na Barabara kuu,,ukumbwa 20*20,,bei ni milion 4.5,,kiwanja ni changu situmii dalali,,piga simu namba 0712001067,,nikupe maelezo,,karibu sana..
0 Reactions
1 Replies
969 Views
Habari wana jukwaa, Natumai wote mu wazima wa afya na mnaendelea na majukumu yenu. Nilikua nataka kuuliza ni wapi nitapata jewelleries za jumla kama hereni, mikufu, bangili za english gold...
0 Reactions
2 Replies
874 Views
Habari wakuu Ninatoa huduma za Kuprint Documents mbalimbali kama vile: Diaries, Calendars, Forms, Invoices, Receipts, Banners, stickers, Brochures, Buisiness cards, Envelopes, Booklets...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Bloomberg News inaripoti kwamba kampuni mbili za mutual fund za Tanzania zimeanzisha mbinu ya kukwepa marufuku ya serikali ya kuuza hisa za kwanza za Vodacom, IPO, kwa wateja wasio Watanzania...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…