Afrimec company group tunazid kua karibu yako.ambapo chini ya kampuni hii kuna huduma zifuatazo
1.Dr Msua :Ni dakitari wa afya ya binadamu pia ana shahada ya telemedicine na family medicine...
For all your Graphics Works; Flyers/Posters, Branding, Artworks and so much more @amdesignstz we are the solution.
Contacts us on +255769278878 for business, we deliver worldwide!!!
Our social...
Sheets To_Go ni mashuka kutoka Kampala-Uganda,,ni pure cotton(pamba 100%)
8*8 @80000(shuka 2 na foronya 4)
Jumla kuanzia pea 10
8*8 @65000
Kwa waliopo Dar derivery ipo, gharama ya usafiri juu ya...
Habar zenu wakuu
Nauza simu tajwa hapo juu ipo vizuri sana na haina tatizo lolote
Simu nikama mpya
BEI 130000
Nipo DAR ES SALAAM
MAWASILIANO NAMBA 0656899091
Baada ya shamrashamra za sherehe za Muungano hapo jana, leo tena ni siku nyingine maridhawa nzuri ya kuendeleza gurudumu la kutufanya tuishi kwenye sayari ya dunia yenye kila nyenzo za kila...
Habari JF Members
Nafanya Ghraphic Designs za matangazo na picha mbalimbali. Pia ninaweza kukutangazia kupitia Paid ads kwa bei nafuu kwenye mitandao ya kijamii; FACEBOOK, TWITTER, INSTAGRAM, NK...
Habari wanaJf
Nauza gari yangu aina yenye maelezo kama ifuatavyo:-
Aina ya gari: Subaru
Model: legacy
Body: station wagon
YoM: 2005
Cc:1990
Transmission: automanual
Fuel used: petrol
Oddometer...
Wakuu habari.
Kama kichwa cha habar hapo juu kisemavyo.
kuna furusa ya ajira kwa mtu mwenye cheti cha bima kuanzia ngazi ya certificate hadi diploma japo mwenye certificate anapewa upendeleo...
Wakuu poleni kwa majukumu.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji kufanya biashara na mtu anayetengeneza vifungashio kwa ajili ya kupaki sabuni. Vifungashio hivyo ni pamoja na box za...