Nauza heka 3 Kigamboni

Nauza heka 3 Kigamboni

mkada

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2011
Posts
1,200
Reaction score
908
Nauza shamba la heka tatu Kigamboni, Mwasonga karibu na kiwanda cha cement cha nyati, linafaa kwa kilimo na makazi, kuna kisima pia. Heka moja ni milioni 5.Karibuni.
 
Nauza shamba la heka tatu Kigamboni, Mwasonga karibu na kiwanda cha cement cha nyati, linafaa kwa kilimo na makazi, kuna kisima pia. Heka moja ni milioni 5.Karibuni.
Heka au eka!?
 
NAUZA KIWANJA GEZAULOLE(KIGAMBONI)-UKUBWA EKAR MOJA(1) .HAKIJAPIMWA.BEI MIL 30.MAZUNGUMZO YAPO.KIWANJA KIPO SEHEMU NZURI,KIMEPAKANA NA KIDETE SECONDARI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom