Wapi nitapata vitu hivi kwa jumla?

Wapi nitapata vitu hivi kwa jumla?

Miss Jay

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2013
Posts
211
Reaction score
174
Habari wana jukwaa,

Natumai wote mu wazima wa afya na mnaendelea na majukumu yenu.

Nilikua nataka kuuliza ni wapi nitapata jewelleries za jumla kama hereni, mikufu, bangili za english gold pamoja na saa za kike na za kiume.

Anaefahamu duka au sehemu ambayo naweza kuvipata au kama kuna mtu anauza humu basi anitafute tujue tunafanyaje.

Asanteni sana
 
Habari wana jukwaa,

Natumai wote mu wazima wa afya na mnaendelea na majukumu yenu.

Nilikua nataka kuuliza ni wapi nitapata jewelleries za jumla kama hereni, mikufu, bangili za english gold pamoja na saa za kike na za kiume.

Anaefahamu duka au sehemu ambayo naweza kuvipata au kama kuna mtu anauza humu basi anitafute tujue tunafanyaje.

Asanteni sana
uko mkoa gani
 
Habari wana jukwaa,

Natumai wote mu wazima wa afya na mnaendelea na majukumu yenu.

Nilikua nataka kuuliza ni wapi nitapata jewelleries za jumla kama hereni, mikufu, bangili za english gold pamoja na saa za kike na za kiume.

Anaefahamu duka au sehemu ambayo naweza kuvipata au kama kuna mtu anauza humu basi anitafute tujue tunafanyaje.

Asanteni sana
Kariako kuna sehemu utazipata vitu vyote hivyo

Ova
 
Back
Top Bottom