Nimeitumia kwa miezi miwili. inapiga simu bei ya kutupa 250K kwa anayehitaji karbu PM niko dar.
..........update......
Imeizwa asante sana kwa aliyeanzisha hili jukwaa
Habari Ndugu,
tunatoa huduma ya Video Shooting kwa Music aina zote, Movies, Matangazo, Events na vitu zote zinazohusu shooting.....
Gharama yetu ni rahisi saana, tunapatikana njia panda ya Segera...
MENU YA ElFU 7000,kuku robo,wali mauwa ,pilau,nyama ya ng'ombe rosti,njegele Nazi,ndizi nyama Nazi,tambi,saladi, tunda,maji uhai nusu kwa wote.ugali kwa wahitaji(chakula cha asili). Pia zipo menu...
Ipo kigamboni hii ni mpya
Bei: laki 2.5 (miezi 6)
Vyumba viwili kimoja master, jiko, , public toilet na sitting room,fence na parking
Luku na maji vinajitegemea
Ndani ya kompaundi kuna nyumba...
Bei tsh milioni 25
Iko Mwemberadu kigamboni Km 2 toka kwenye Pantoni
+vyumba vinne
+Sebule
+tiles
Ina Umeme
Maongezi Yapo
Unaweza ifanya hostel, kwani kuna wanafunzi wengi wa chuo wanahitaji...
Kiwanja kipo kange stendi mpya, kinaukubwa wa m20x30 kipo karbu na stendi kuu ya mabasi tanga, bei ya kiwanja ni mil 5.8 mazungumzo yapo, kiwanja kinaoffer..
Kwa mawasiliano pga no. 0713 575797
Habari wanajamvi.
Natumai muwazima, namiliki biashara na hapo awali nilisajili Brela kama sole proprietor ila kutokana na malengo niliyokua nayo awali na ukuaji wa fursa nataka kuisajili kama...
Wadau, heshima kwenu.
Mimi ni mpiga picha mwenzenu niko Geita
Natafuta zile background za studio (vile vitambaa maalum vya studio kwa ajili ya kupigia picha za still)
Vinakuwa kama picha flani...
Habari wadau. Nina kuku watatu wa kienyeji pure nawauza. jogoo mmoja na majike mawili, woote kwa pamoja wanagharimu elfu hamsini za kitanzania. karibuni sana napatikana kivule. ukihitaji
kama uko...
Moo Entertainments is a Modeling Agency in Dar es salaam - Tanzania..
If you need Models and video Queen for Fashion show and advertising...
please well come to Our Office.
contacts: +255...