Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Piga 0714215600 au 0777880007
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Natafuta pikipiki aina ya BOXER BM 150 iliyotumika muda mfupi na iwe haijaguswa injini kwa bei ya MILION MOJA. 1M. nitafute kwa 0686958013.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
VKP Investment ni kampuni iliosajiliwa na serikali inayojishughulisha na mambo mbali mbali ikiwemo uuzaji/ukopeshaji wa Viwanja na mashamba.Inakupa fursa ya kimiliki ardhi kwa mkopo usio na riba...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu kama nilivyo kwambia mimi ni fundi umeme nimehitimu mafunzo ya ufundi umeme mwaka 2015 ila sijafanikiwa kupata nafasi nzuri ya kutumia ufundi wangu hivyo naomba mwenye kuhitaji kunisaidia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavyojieleza gari tajwa hapo juu inatafutwa iweze kununuliwa Aliyonayo au ambaye anaweza kufanikisha kuipata tuwasiliane
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Mkataba wa upangaji ni wa muda mfupi kuanzia mwezi mmoja hadi mitatu endapo maelewano yatakuwapo. Nyumba iwe ya kisasa iliyo katika eneo zuri lenye kufikika kwa urahisi, iwe na umeme na maji, iwe...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa mwenye mahitaji ya laptop aina yaToshiba inafanya kazi vizuri kabisa na viti vinne vya wageni ofisini pamoja na meza yake vinauzwa Mwanza.Laptop imetumikamwakammojaila vitina meza...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Karibun chuo cha afya. Yaani clinical assistant. Na Nursing. Kwa waliomalza kidato cha nne na cha sita
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Wasalaam wapendwa, Kwa wale wenye mahitaji ya vitabu vya riwaya, napenda kuwakararibisha mjipatie vitabu vyenu... Tupo Dar es Salaam maeneo ya posta, Bunju na Kinondoni. Kwa mikoani tunatuma...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Ninazo ekari 8 umbali toka barabara ya Lami(Bagamoyo-Msata) ni KM 3. Shamba linafaa kwa kilimo cha mahindi na maharage pia zipo ekari 4 kwa pamoja umbali toka lami(Bagamoyo-Msata) ni kms 2. Kila...
1 Reactions
5 Replies
5K Views
Tupo Zanzibar kwa mawasiliano zaidi tumia namba hii 0777429990
2 Reactions
5 Replies
8K Views
Gb 32 Ram 3gb Front camera 2.1megapixel Back camera 13megapixel Screen size 5.5 inches Line moja Aina Tatizo lolote lile kabsa Tsh 350000 tu mazungumzo yapo 0677177140
0 Reactions
0 Replies
662 Views
Jipatie Website/ Tovuti kwa ajiri ya biashara yako/taaasisi (TZS 180,000/=) OCEAN MEDIA GROUP Offa maalumu ya mwezi huu. Je unamiliki biashara / Taaasisi ya aina yeyote na ulikua unahitaji...
0 Reactions
0 Replies
672 Views
Hello.. necta kwa uzembe wamepoteza kumbukumbu za vyeti vyangu hivyo kusababisha niwekwe kwenye kundi la watu wenye vyeti feki.. Nataka kurudi kijijini kujaribu kilimo lakini nimekwama nauli kwa...
2 Reactions
357 Replies
31K Views
Natafuta hair drier zinazotumika kwenye saloon za akina mama, kama kuna mtu anajua aliyefunga saloon au anauza drier kwa shida nyingine anicheck kwa 0713228915 tufanye biashara,niko Dar
0 Reactions
3 Replies
713 Views
Mimi ni fundi umeme Kwa ngazi ya cheti nimesoma veta Nina leve ll miaka 24 nimejiajili mtaa nimejenga brand name uwana walekebishia vitatizo vidogo vidogo kama kutatua fault circuit, ila natafuta...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari ndugu msomaji! Natafuta shamba la ekari moja hadi mbili maeneo ya kiluvya hadi kibaha. Ambaye atakuwa nalo au anajua mwenye nalo tafadhali tuwasiliane kwa PM au aweke details zake hapa...
0 Reactions
0 Replies
552 Views
tunauza nguo za watoto za mtumba wa ukweli, Magauni, sketi, blauz, sweta, pensi, suruali, short pens, swiming cost,nk piga namba 0712288700 tupo karume
1 Reactions
9 Replies
3K Views
shamba lenye ukubwa wa ekari 2,109 linauzwa lenye hati miliki ya ardhi . Location:18 kilometers kutoka Kutoka mlandizi -kibaha Kuelekea morogoro via...
0 Reactions
0 Replies
778 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…