VKP Investment ni kampuni iliosajiliwa na serikali inayojishughulisha na mambo mbali mbali ikiwemo uuzaji/ukopeshaji wa Viwanja na mashamba.Inakupa fursa ya kimiliki ardhi kwa mkopo usio na riba...
Ndugu kama nilivyo kwambia mimi ni fundi umeme nimehitimu mafunzo ya ufundi umeme mwaka 2015 ila sijafanikiwa kupata nafasi nzuri ya kutumia ufundi wangu hivyo naomba mwenye kuhitaji kunisaidia...
Mkataba wa upangaji ni wa muda mfupi kuanzia mwezi mmoja hadi mitatu endapo maelewano yatakuwapo. Nyumba iwe ya kisasa iliyo katika eneo zuri lenye kufikika kwa urahisi, iwe na umeme na maji, iwe...
Kwa mwenye mahitaji ya laptop aina yaToshiba inafanya kazi vizuri kabisa na viti vinne vya wageni ofisini pamoja na meza yake vinauzwa Mwanza.Laptop imetumikamwakammojaila vitina meza...
Wasalaam wapendwa,
Kwa wale wenye mahitaji ya vitabu vya riwaya, napenda kuwakararibisha mjipatie vitabu vyenu...
Tupo Dar es Salaam maeneo ya posta, Bunju na Kinondoni. Kwa mikoani tunatuma...
Ninazo ekari 8 umbali toka barabara ya Lami(Bagamoyo-Msata) ni KM 3. Shamba linafaa kwa kilimo cha mahindi na maharage pia zipo ekari 4 kwa pamoja umbali toka lami(Bagamoyo-Msata) ni kms 2. Kila...
Gb 32
Ram 3gb
Front camera 2.1megapixel
Back camera 13megapixel
Screen size 5.5 inches
Line moja
Aina Tatizo lolote lile kabsa
Tsh 350000 tu mazungumzo yapo
0677177140
Jipatie Website/ Tovuti kwa ajiri ya biashara yako/taaasisi (TZS 180,000/=)
OCEAN MEDIA GROUP
Offa maalumu ya mwezi huu. Je unamiliki biashara / Taaasisi ya aina yeyote na ulikua unahitaji...
Hello.. necta kwa uzembe wamepoteza kumbukumbu za vyeti vyangu hivyo kusababisha niwekwe kwenye kundi la watu wenye vyeti feki..
Nataka kurudi kijijini kujaribu kilimo lakini nimekwama nauli kwa...
Natafuta hair drier zinazotumika kwenye saloon za akina mama, kama kuna mtu anajua aliyefunga saloon au anauza drier kwa shida nyingine anicheck kwa 0713228915 tufanye biashara,niko Dar
Mimi ni fundi umeme Kwa ngazi ya cheti nimesoma veta Nina leve ll miaka 24 nimejiajili mtaa nimejenga brand name uwana walekebishia vitatizo vidogo vidogo kama kutatua fault circuit, ila natafuta...
Habari ndugu msomaji! Natafuta shamba la ekari moja hadi mbili maeneo ya kiluvya hadi kibaha.
Ambaye atakuwa nalo au anajua mwenye nalo tafadhali tuwasiliane kwa PM au aweke details zake hapa...
tunauza nguo za watoto za mtumba wa ukweli, Magauni, sketi, blauz, sweta, pensi, suruali, short pens, swiming cost,nk piga namba 0712288700 tupo karume