Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nina tangawizi iliyo shambani, imekomaa vizuri. Shamba ni heka 1. Kwa mteja aliye tayari kwa bei ya 3,000ths /kilo, tuwasiliane ili mavuno yafanyike. 0765101107
0 Reactions
3 Replies
2K Views
habari za leo. Kwa yeyote ambae ni mkazi wa arusha anaefahamu sehemu ambapo kunauzwa viwanja naomba anijulishe. Asanteni ningependa zaidi kama mtu atanipm
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mkuu wa Zantel-Zanzibar, Mohamed Khamis Mussa maarufu kwa jina la Baucha akizungumza katika hafla ya kupata futari iliyoandaliwa kwa ajili ya wafanyakazi wa Kampuni hiyo mwishoni mwa juma mjini...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama kuajira mpya tujulishane
0 Reactions
1 Replies
722 Views
Simu mupyaaaa kabisa ina week tu ni Tecno w5 kwa bei ya sawa na bureeeee nipe 200k tu nakuachia au Kama kuna mtu ana Tecno w3 basi tubadilishane aniongezee mkwanja nimepata ka-emegerncy kidogo...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habr wanajamvi, naomba kujuzwa gharama za kupiga picha kwa picha chache na nyingi na kwa size ya 5 by 7 6 by 8 8 by 12 (A4) Kwa zile ambazo hazija editiwa na zile za kueditiwa. Asante sana
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Msaada mama kuna mtu anajua web ya ajira tujulishane
0 Reactions
1 Replies
760 Views
  • Closed
Wadau habari za majukumu. Nauza kitanda cha mninga 6*6 na godoro lake. Vyote ni vizima kabisa na kitanda uzito wake ni 120 kg cha mbao nene. Godoro nch 6 zima kabisa lina miezi 9 tu tangu...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Samsung note4 inauzwa kwa sh400000 tu ni mzima haina tatizo lolote kwa mawasiliano namba 0786544846 nipo dar.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tunatoa huduma bora za massage ndani ya Lamada Hotel & Apartments Mbali na huduma za massage tunazo bidhaa zenye ubora na kiwango kikubwa katika kuponya maradhi sugu,baadhi ni 1.Ukosefu wa nguvu...
4 Reactions
54 Replies
11K Views
Wakuu natafuta sim ya W3 LTE iwe kwenye hali nzuri mm nipo dar/buza kanisan dau langu ni 140000.Nitafute kwenye namba 0652002828
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari, Nyabiri tiba asilia ni kituo kinachotoa huduma za matibabu kwa kutumia dawa zinazotokana na mimie. dawa zetu ni za asili hazichanganywi na kemikali yoyote na ni dawa za uhakika. Tunacho...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ram 2gb hdd 250 Web camera betre 4hrs wifi bluetooth size 10.1 299000 0652245773
1 Reactions
3 Replies
945 Views
Hii juice dispenser unauzwa ni used kidogo ila bado inafanya kazi.naiuza sababu nina shida na pesa, wanemaga chako ndo kinakusaidia Bei yake ni laki tano tu (500,000) ila punguzo lipo. mpya...
0 Reactions
14 Replies
8K Views
Bei yangu isizidi Tsh 250,000/=
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wakuu, Bila kuwachosha sana napenda nitangaze ofa yangu, nnahitaji gari ya bei kuanzia 3-5M, ila kwa sasa mfukon nna 3M Cash. Kama una gari unaiuza ipo ndani ya Bajet tajwa hapo juu na upo...
1 Reactions
52 Replies
7K Views
Nimefungua ukumbi wa mpira sasa naombe ushari wa jina LA ukumbi lenye kuvutia washabiki wa mpira
0 Reactions
8 Replies
961 Views
kiwanja kinauzwa chanika masaki shilling million moja laki 7 maelewano yapo ukubwa acre kasoro robo tuwasiliane kwa namba +255 769 768 631
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…