Salaam,
Naomba msaada kwa mtu yeyote anaeyajua maduka mazuri yanayouza saa za kiume na za kike kwa bei ya jumla hapa DSM, anisaidie katika hilo, #0713 100 279, natanguliza shukrani zangu za dhati
Naomba kuuliza kwa anaejua bei ya Gari Mitsubishi Rosa min Bus, kwa showroom za Dar... Aina Ya Gari lenyewe hilo,, adi naondoka nayo sh ngap?? Kwa anaejua anisaidie mi nipo mkoani mbali na Dar...
NASEPA BONGO na sitarud ng'o
Sasa nafanya kubwaga mali zifuatazo.
PS3 cracked imenyooka sana, ipo na vifaa vyake vyote. Pad 2, ndani kuna games 6. Huna haja ya kununua CD.
Fridge la samsung...
Msaada tutani , wadau mwenye smart tv nahitaji kununua kiasi changu kidogo ndiyo maana naomba msaada , inch 32 kwa laki 3,
mawasiliano yangu ni 0744439790
Hello,Kuna vyumba,Nyumba ya kupanga mtoni kijichi.
Numba/vyumba vipo ndani ya fensi,maji na umeme ya uhakika yapo.
Ipo yenye chumba(self) na sebule plus jiko, Kodi 150,000/= kwa mwezi.
Vyengine...
Imetumika mwaka miezi 7tu nahaina matatizo yoyote haijaganyiwa mabadiliko yoyote ni Mali original ya Muhindi Bei ni 2milions bila kwa mawasiliano 0678721565 au 0758393837
Nyumba bado mpywa yenye sebule, master na vyumba viwili, choo, jiko yenye ukubwa wa 40/45 wasliana nami kwa mwenye mahitaji..
Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
Biashara.
Kitanda Safi cha chuma,
Ukubwa ni 5"X 6"
Hakina mchubuko wala mkwaruzo
Hakina kutu wala tatizo la aina yoyote ile.
Bei ni 400,000 (mazungumzo yanakaribishwa)
Mawasiliano:
0716403314...
Kama kichwa cha habari inavyosoma hapo juu,natafuta bajaji ya kununua na vilevile kama ukiweza kunikopesha niweze kulipa kidogo kidogo kwa awamu, zingine itakuwa vyema zaidi.nahitaji bajaji...
Abu Dhabi, UNITED ARAB EMIRATES – Etihad Airways is adding year-round flights between its Abu Dhabi hub and both Cairo and Lagos later this year to cater to growing demand to and from the United...
Invitation to participate in Youth Caravan July 2017.
Vijana Assembly in Collaboration with Ministry of Foreign Affairs and East Africa Cooperation, Foundation for Civil society, Trademarks East...
NATAFUTA GODOWN LA KUKODI UKUBWA AT LEAST SQM 800.KUWE NA PACKING YA KUTOSHA HATA KAMA NI NJE YA UKUTA.GODOWN LIWE DSM.MAANEO NI KUANZIA KIGOGO ROUND ABOUT KUELEKEA MOROCO HADI MIKOCHENI.PIA...