Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Anayeitaji mtungi wa gas complete au exchange pamoja na majiko ya gas kama aborder, home base, boss anione, utaletewa bure hadi nyumbani. Ofa hii ni kwa wakazi wa morogoro mjini tu Ukiitaji...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wadau nahitaji gari Mercedes Benz c200 kompressor ofa yangu ni ml 7 yenye hali nzuri atleast namba C
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari, kama wewe ni masanii wa music wa aina yoyoye na unataka kufanya video nzuri kwa gharama ndogo kabisa ya sawa na Bure au bure kabisa wahi ofa hii kutoka kampuni ya Moo Entertainment...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Bei mpya za simu za tecno hizi hapa, okoa pesa zako, nunua kwetu, haijawahi tokea Bei mpya Tecno mpya cx 300000 Tecno c9 320000 Tecno j8 270000 2 w3 150000 Tecnw3lt 185000 Tecno w1 125000 Tecno...
2 Reactions
8 Replies
8K Views
Noah TownAce 4WD iliyo katika hali nzuri inahitajika. Offer yangu itategemea hali halisi ya gari. Serious seller njoo PM tufanye biashara.
0 Reactions
1 Replies
792 Views
habari wadau nipo dar keko nauza simu mpya aina ya huawei M2 rom ni 16gb na ram ni 3gb bei yake ni laki 5 namba yangu 0758478009
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani anae uza mashine ya kukushanyia kodi inahitajika haraka sana. 0714919809 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
604 Views
Nyumba iko nyasubi Kahama ,ina vyumba vitano vya kulala na sebule moja, pia maji, umeme vinapatikana. Ina fance ya nyumba ingine kwa nyuma ambayo imekomea kwenye lenta , eneo zima ni nusu heka ...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Africa Feeders Company Limited wanakuletea unga safi, mweupe wa muhogo kwa ajili ya ugali, chapati, maandazi, mikate na matumizi mengine mengi. Packages za 5kg, 20kg na 50kg. Kwa order uletewe...
0 Reactions
0 Replies
563 Views
Kiwanja kinauzwa kimara mwisho kwa komba. Mita 20 kwa 15 na bei ni Tsh 15,000,000 Hakijapimwa. 0712595636.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mwanangu amevunja tv yangu ya inch 40 kwa kuipiga na remote! Na kwa bahati mbaya imevunjika screen kama inavyoonekana ktk picha hapa chini [emoji116]ninaomba msaada kama kuna mtu anayo au anamjua...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Simu Alcatel 5023F inauzwa ni ya mwez wa 3. Laini mbili na betri yake inadumu sana yaani 5000mAh Bei ni 150000(mazungumzo yapo) Mawasiliano: 0765329261 Nipo Iringa( Mbeya,Dodoma,morogoro...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Zipo Zaidi ya Lita 500 Mahala: Dsm Price 10,000/- kwa Lita. Serious buyer Tuwasiliane kwa Namba +255715631811 Karibuni.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
BEI ZA VITABU Vitabu vifuatavyo vyenye kanuni (formulations) za utengenezaji wa bidhaa mbali mbali vinapatikana kama soft copies yaani wakati wa kulipia kitabu husika...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Shamba linauzwa lina ukubwa wa ekari tatu lipo dodoma mjini maeneo ya mzani(nala),umbali wa kama kilomita zisizozidi 12 kutoka town cente na kamaita 700/800 kutoka barabara kuu ya lami iendayo...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Habarini wakuuu Bei ya kabati 150000 na dressing table 100000 napatikana mbezi makonde. Ni PM kama upo serious Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
19 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…