WADAU AHSANTEN KUWA MAKINI NA TANGAZO LANGU VYUMBA NA HOSTEL ZINAPATIKANA MAENEO YA KUGAMBON KISIWAN MAHALI PAZURI NA USALAMA KARIBUNI SANA NICHEKI KW NAMBA 0714511763
Habari wakuu.
Water pump yangu imedondoka na bahati mbaya starter ikapasuka.
Naomba msaada ninapoweza kupata spare yake.
Aina ni Robin EY 15.3
Sent using Jamii Forums mobile app
BIASHARA MATANGAZO MUONEKANO BOMBA ONLINE
Video promo Tv 1080/Audio Promo/Posters/Barnner/Bussnes Card za kijanja SAMPLE::
Whatsapp/Call 0764 876 888 & deejaptz@gmail.com
WanaJamiiForums,
Wenzangu naomba mniunge mkono nguo za watoto na wakubwa mtumba grade 1 tutakuletea ulipo usitupe nauli yako na usipoteze mda wako kwenda mnadani ulipo tunakuletea ni kuanzia 3000...
Kwa anaehitaji eneo la barabarani kwa ajili ya Sheli,Hospital,Hoteli au Vyumba vya kibiashara anitafute 0768613965
0621092983
Eneo lipo barabarani kwa Sheli Hotel na Hospital ndo penyewe kwa...
Naombeni mwenye namba za makocha wanao fundisha kuogelea naitaji kujisajili ili ni mletee manufaa katika timu yake ya kuogelea maana mimi ni mfano wa samaki
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapenzi warembo wenzangu yake mafuta mazuri ya queen elizabeth yapo yamewasili nchini Kwa anayetaka please ani pm nitaelekeza wapi Kwa kuyapata unaletewa mpka ulipo bei nni hiyo hapo
Habari wakuu.
Mzigo wa caustic soda umewasili, bei ni nafuu mno. Pia tuna material ya kubadili sabuni ya kipande ya kufulia iwe sabuni ya kuogea au sabuni ya kutibu ngozi.
Simu: 0713-039 875
Wadau muhitaji wa Kontena la futi 40 liko Ununio karibu na shule ya sekondari ya Kiislamu (Ununio Islamic High School) ni High Cube na documents zote ziko vizuri. Bei million 4 (4M) na maongezi...
Ndugu wanabodi,
Nawasalimu katika jina lake yeye atutiaye nguvu na afya.
Nahitaji kujua kama kuna kampuni inayozalisha matofali ya kuchoma ya kiwango bora sana popote pale ilipo ndani ya mipaka...
Anayeitaji mtungi wa gas complete au exchange pamoja na majiko ya gas kama aborder, home base, boss anione, utaletewa bure hadi nyumbani. Ofa hii ni kwa wakazi wa morogoro mjini tu
Ukiitaji...