Kwa anaehitaji eneo la barabarani kwa ajili ya Sheli,Hospital,Hoteli au Vyumba vya kibiashara anitafute 0768613965
0621092983
Eneo lipo barabarani kwa Sheli Hotel na Hospital ndo penyewe kwa...
Naombeni mwenye namba za makocha wanao fundisha kuogelea naitaji kujisajili ili ni mletee manufaa katika timu yake ya kuogelea maana mimi ni mfano wa samaki
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapenzi warembo wenzangu yake mafuta mazuri ya queen elizabeth yapo yamewasili nchini Kwa anayetaka please ani pm nitaelekeza wapi Kwa kuyapata unaletewa mpka ulipo bei nni hiyo hapo
Habari wakuu.
Mzigo wa caustic soda umewasili, bei ni nafuu mno. Pia tuna material ya kubadili sabuni ya kipande ya kufulia iwe sabuni ya kuogea au sabuni ya kutibu ngozi.
Simu: 0713-039 875
Wadau muhitaji wa Kontena la futi 40 liko Ununio karibu na shule ya sekondari ya Kiislamu (Ununio Islamic High School) ni High Cube na documents zote ziko vizuri. Bei million 4 (4M) na maongezi...
Ndugu wanabodi,
Nawasalimu katika jina lake yeye atutiaye nguvu na afya.
Nahitaji kujua kama kuna kampuni inayozalisha matofali ya kuchoma ya kiwango bora sana popote pale ilipo ndani ya mipaka...
Anayeitaji mtungi wa gas complete au exchange pamoja na majiko ya gas kama aborder, home base, boss anione, utaletewa bure hadi nyumbani. Ofa hii ni kwa wakazi wa morogoro mjini tu
Ukiitaji...
Habari,
kama wewe ni masanii wa music wa aina yoyoye na unataka kufanya video nzuri kwa gharama ndogo kabisa ya sawa na Bure au bure kabisa wahi ofa hii kutoka kampuni ya Moo Entertainment...
Bei mpya za simu za tecno hizi hapa, okoa pesa zako, nunua kwetu, haijawahi tokea
Bei mpya
Tecno mpya cx 300000
Tecno c9 320000
Tecno j8 270000
2 w3 150000
Tecnw3lt 185000
Tecno w1 125000
Tecno...
Nyumba iko nyasubi Kahama ,ina vyumba vitano vya kulala na sebule moja, pia maji, umeme vinapatikana.
Ina fance ya nyumba ingine kwa nyuma ambayo imekomea kwenye lenta , eneo zima ni nusu heka ...