Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza nyumba yangu nzuri sana ipo buyuni/Italiani barabara ya pugu kwenda chanika. Mitaa imepangika na kiwanja kimepimwa.Nyumba no: ni Block 1 plot no 7 mtaa wa Kigezi Buyuni Wilaya ya Ilala...
1 Reactions
54 Replies
10K Views
Kwa wale mwanao hitaji asali bora kabisa wanaweza kutafuta kuanzia Lita ishirini au kiasi chochote unachotaka hadi Lita mia tunaunapatikana Kaliua Tabora mawasiliano 0759490538 au...
0 Reactions
1 Replies
763 Views
Brand New Samsung Galaxy S8+ 64GB Unlocked For Sale Whatsapp:: +254714133705
0 Reactions
2 Replies
821 Views
Anae jua ani juze bei ya hayo mafuta ya Arabian queen
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Vits No. B Five doors. Engine. Cc 900.. In good condition Mil5. 5 Pox. com
0 Reactions
12 Replies
2K Views
WEKEZA NA ZSB TANZANIA COMPANY LIMITED. ZSB Tanzania Company Limited ni kampuni iliyo sajiliwa mnamo 14/11/2008 na kupewa cheti(hati) cha usajili no.107-513-183. ZSB ina ofisi zake mkoni...
0 Reactions
2 Replies
988 Views
Chumba kwa ajili ya msela wa kike au wa kiume Mbagala kuu.Elf 30 tu.Maji na umeme. Piga 0715886671. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu,Habari za majukumu?Nahitaji dish haya tuliyokuwa tunatumia kuangalia TV kabla ya kuanza kutumia ving'amuzi.Niko dar Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
999 Views
*BIOPOWERPLUS ORGANIC FOLIO FERTILIZER* Hii ni mbolea isiyo na kemikali hata kidogo, ni mbolea iliyotokana na viumbe hai yaani wanyama na mimea ya magugu maji, mbolea iliyotengenezwa baada ya...
0 Reactions
21 Replies
9K Views
Kama unaitaji kujenga apartments au nyumba za kupangisha,kuna kiwanja kinauzwa kwa bei poa,kibamba mpya karibu new muhimbili university. Contacts: 0757464131 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari zenu wanajukwa? Husika na kichwa cha habari, nahitaji pikipiki used iwe sunlg, fekon au t-better. Offer ni 750000
0 Reactions
5 Replies
982 Views
Kama kichwa kinavyojieleza, naomba kujua mahali na bei ya jumla ya mifuko ya kawaida ( nylon/salfeti) ya debe sita kwa Dar. asanteni
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa Dodoma kipo Chamwino njia panda ya Buigiri, kina ukubwa wa hatua 57 kwa 49,kimepimwa, kina jengo lipo kwenye lenta, bei million 11, nafasi ya maelewano IPO, kwa mawasiliano piga...
0 Reactions
1 Replies
726 Views
Uchunguzi umeonyesha moja ya magojwa yanaowasumbua watumiaji wa magari binafsi na madereva wa kiafrika ni magonjwa ya mgongo (spinal cord problems) hii huonekana zaidi wakati wa uzeeni au baada ya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ifanye nyumba yako ipendeze, sisi ni mabingwa wa kutengeneza na kurepair sofa aina zote, za chuma na za mbao, pia runatengeneza vitanda vya chuma, mbao na sofa, meza za sofa, makabati, dressing...
0 Reactions
7 Replies
12K Views
Habari ndugu na jamaa,kwanza niwatakie jumapili njema yenye baraka tele. Pili; ninauza kifaa changu cha kielectronic,samsung tab S 10.5. Condition: Clean Price: 700k punguzo lipo. Specs...
0 Reactions
6 Replies
962 Views
Habari: kwa wewe mkazi wa dar es salaamu mikoa ya jirani karibu upate huduma ya vipimo vya mwili mzima(general body check up) bei nafuu na vya kisasa kabisa pasipo kutolewa damu wala choo kwa sh...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
16 gb Inakuja sim na usb tu Imetumika miez mitatu haina scratches Kila kitu kinafanya kazi Bei 430,000 Fearing of the Lord is the beginning of wisdom
1 Reactions
2 Replies
838 Views
Wakuu mambo vipi... Ni muda mrefu sijaandika kwenye jamvi letu hili la biashara, sababu nimerudi Tanzania na nilikuwa nataka kujaribu niliyo yaandika kwa muda mrefu humu (mfano Business Ideas...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Location: Toa ngoma lugwadu, Square metres 750, price mil 4/= & square metres 1000, mil 7/= Km 17 from kigamboni ferry, km 8 from kongowe/toa ngoma - Mtengu (TSN Supermarket) Info: Email...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…