Nauza nyumba yangu nzuri sana ipo buyuni/Italiani barabara ya pugu kwenda chanika. Mitaa imepangika na kiwanja kimepimwa.Nyumba no: ni Block 1 plot no 7 mtaa wa Kigezi Buyuni Wilaya ya Ilala...
Kwa wale mwanao hitaji asali bora kabisa wanaweza kutafuta kuanzia Lita ishirini au kiasi chochote unachotaka hadi Lita mia tunaunapatikana Kaliua Tabora mawasiliano 0759490538 au...
WEKEZA NA ZSB TANZANIA COMPANY LIMITED.
ZSB Tanzania Company Limited ni kampuni iliyo sajiliwa mnamo 14/11/2008 na kupewa cheti(hati) cha usajili no.107-513-183. ZSB ina ofisi zake mkoni...
Wakuu,Habari za majukumu?Nahitaji dish haya tuliyokuwa tunatumia kuangalia TV kabla ya kuanza kutumia ving'amuzi.Niko dar
Sent using Jamii Forums mobile app
*BIOPOWERPLUS ORGANIC FOLIO FERTILIZER*
Hii ni mbolea isiyo na kemikali hata kidogo, ni mbolea iliyotokana na viumbe hai yaani wanyama na mimea ya magugu maji, mbolea iliyotengenezwa baada ya...
Kama unaitaji kujenga apartments au nyumba za kupangisha,kuna kiwanja kinauzwa kwa bei poa,kibamba mpya karibu new muhimbili university.
Contacts: 0757464131
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiwanja kinauzwa Dodoma kipo Chamwino njia panda ya Buigiri, kina ukubwa wa hatua 57 kwa 49,kimepimwa, kina jengo lipo kwenye lenta, bei million 11, nafasi ya maelewano IPO, kwa mawasiliano piga...
Uchunguzi umeonyesha moja ya magojwa yanaowasumbua watumiaji wa magari binafsi na madereva wa kiafrika ni magonjwa ya mgongo (spinal cord problems) hii huonekana zaidi wakati wa uzeeni au baada ya...
Ifanye nyumba yako ipendeze, sisi ni mabingwa wa kutengeneza na kurepair sofa aina zote, za chuma na za mbao, pia runatengeneza vitanda vya chuma, mbao na sofa, meza za sofa, makabati, dressing...
Habari ndugu na jamaa,kwanza niwatakie jumapili njema yenye baraka tele.
Pili; ninauza kifaa changu cha kielectronic,samsung tab S 10.5.
Condition: Clean
Price: 700k punguzo lipo.
Specs...
Habari: kwa wewe mkazi wa dar es salaamu mikoa ya jirani karibu upate huduma ya vipimo vya mwili mzima(general body check up) bei nafuu na vya kisasa kabisa pasipo kutolewa damu wala choo kwa sh...
Wakuu mambo vipi...
Ni muda mrefu sijaandika kwenye jamvi letu hili la biashara, sababu nimerudi Tanzania na nilikuwa nataka kujaribu niliyo yaandika kwa muda mrefu humu (mfano Business Ideas...
Location: Toa ngoma lugwadu,
Square metres 750, price mil 4/= & square metres 1000, mil 7/=
Km 17 from kigamboni ferry, km 8 from kongowe/toa ngoma - Mtengu (TSN Supermarket)
Info:
Email...