Habari wanajamvi...
Nauza magauni mazuri marefu
Bei ni Tsh 20,000
Dar popote unaletewa mikoani ninatuma!
Namba yangu ya simu ni 0656 475 081
Au karibu DM
aina ni: ideos model u8150 ina support 3g na application nyinginezo,nakupa na memory card ya gb 2
sababu ya kuuza :nina simu nyingine za kutumia kwa hio hii iko iddle
Mawasiliano :ni Pm
Ni imara na inapendezesha nyumba
Wateja wa dar kuletewa buree
Kufunga pia ni buree
Wamikoani tunatuma pia
Zipo rangi za aina mbalimbali
Malipo mpaka upate mzigo wako
Milango 2 tsh 65,000
Milango...
ni ya aina hii pichani.(Robin). mjapan huyu. inasukuma umbali hadi mita 400,
imetumika kidogo sana.... na haina tatizo lolote.
(ipo mkoa wa Tanga)
Kama unaihitaji njoo PM tuelewane.
Sent using...
Pick up
Manual
silver in color
manufactured 1998
Engine capacity 2779 cc
T427 DCF
Full Air Conditioner
imetembea 176440 km
ina extra power
ipo katika hali nzuri sana
Bei 26 million
kwa mawasiliano...
Habari wadau ,
Nalomba kujuzwa kwa wale wanaofahamu kuhusu gharama ya mbao za mitiki kwa tani moja na utaratibu unaohitajika kufuatwa kama nataka kuzisafirisha mbao hizi kwenda nje ya nchi...
Designer Manish Arora with Neerja Bhatia Etihad Airways Vice President Indian Sub Continent along with Etihad Airways crew at Lakmé Fashion Week Winter Festive 2017.
Designer Manish Arora walks...
Natafuta KINYOZI mwenye SIFA
1.Mwaminifu
2. Nidhamu kazini
3.Msafi na Mtanashati
4.Awe anaishi KAWE, MSASANI, KINONDONI au MIKOCHENI
Ofisi ipo MIKOCHENI "A" GEZA ULOLE, Sehemu nzuri na CENTER...
IPO Kinyerezi kwa Ditopile ina vyumba vinne sebule 2 jiko na sehemu ya chakula vyumba viwili ni master, ina full paving blocks na Maji baridi ya Kisima na wateja 11 wamefunga mita za maji.ina uzio...
Heshima kwenu wote,
Nahitaji kununua bunk beds maarufu kama double decker.Nahitaji ziwe za chuma au mbao ila zilizo kwenye hali nzuri.
Mwenye nazo tuwasiliane,sanjari na picha na bei pia...
Wadau, nauza wino wa rangi kwa printer ya rangi HP. Nauza sababu printer yangu imeharibika na imekuwa vigumu kuitengeneza. Rangi zilizopo Ni C9721A, C9722 na C9723 zipo tatu tatu kila moja. Bei...
Kampuni inajishughulisha na Plumbing and Water Sanitation. Imesajiliwa na ina vyeti vyote kutoka mamlaka husika ikiwa ni pamoja na CRB, BRELA & TRA. Kwa yeyote atakaekuwa interested, tafafhali PM...
Kiwanja kinauzwa Dodoma, kipo Buigiri njia panda ya chamwino, kina ukubwa wa hatua 59 kwa 47, kina jengo lipo kwenye lenta, lina vyumba vinne, sebule na dinning, bei ni million (12) kumi na moja...