Kutana na wauzaji pamoja na mafundi mahili wa kuweka tiles, marbles/granites.Ofisi zetu zina patikana Kinyerezi.Njoo upate ushauri pamoja na huduma kutoka Modesign Finishing Company.
Mawasiliano...
Habari!
Napenda kutoa fursa kwa yeyote ambaye ataweza kusupply mayai tray 150 kwa wiki.
Mazingatio ni kama ifuatavyo
1. Mayai yawe safi pia bila kupasuka.
2. Aweze kuyapack kwa ajili ya...
Jipatie earphone za kisasa kwa bei chee
Ni shilingi elfu 8 tu
Zina mziki mzuri na pia zina mic
Na zina waya ngumu sio rahis kukatika [emoji115] [emoji115] [emoji115]
Nyingine hizi hapa
Kwa...
Ndugu zangu, kanisa limeanzishwa, waumini wamejichanga na mimi nimekabidhiwa fedha kwa ajili ya kununua Kinanda nauliza bei ya Kinanda 450 na 770 au zaidi tukikubaliana tufanye biashara.
Habari wana jf eneo lenye ukubwa wa heka 16 linauzwa, lipo sehemu nzuri na linafaa kwa matumizi mbalimbali lipo Pangawe Morogoro
Kwa yule atayehitaji tukutane PM
Single room kodi ya mwaka mabibo near Nit barabarani na rahisi kufika fense, maji na pasafi Panahitaji vijana wasio na familia hakuna kulipa pesa ya dalali. 60,000. PM
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo jieleza.Nina gunia 50(hamsini) za mahindi ya njano aina ya CP 201 naomba kuzwa soko lake nitalipata wapi Kwa Dar es salaam au Tanga
Kuna kipindi kinafika humwamini kabisa muuzaji wa duka lako maana hesabu anayokuletea haiwiani na hali halisi ya biashara, Unakuta kila unapopitamaeneo ya dukani kwako wateja wamejaa lakini mwisho...
Salaamu,
Naomba ushauri,
Kwa wazoefu nataka kuagiza gari nje(gari mtumba),bajeti yangu ni milioni 15.
Naomba wenye uzoefu wanishauri maana itatumika kijijini hakuna lami pia matumizi ya...
Habari za usiku huu wapendwa nipo dar nauza sofa (120000) , fern 15000 pamoja na decorder ya Startimes na antenna yake na waya 40000 vifaa vyote hivo havijatumika sana
Nipo dar vingunguti, kwa...
Kuhamia kwa serekali Dodoma kutafanya viwanja vipande bei maradufu.
Ushauri wangu kwa wanaotaka kuhamia dodoma na bado hawana viwanja,mashamba dodoma kuwa muda ndio huu wa kushughulikia na jambo...
Do you wish to travel by plane and you don't know the starting point? L and I FLIGHTS is the good solution and easy way to accomplish your dream to all destination local and international ,how...
Habari
Nimehamia sehemu ambayo siwezi litumia tena hili zulia langu.
Urefu ni 2.5m
Upana 1.5m
Lipo safi,linavutia na halijachoka kabisa.
Napatikana dar(mwananyamala)
Simu:0788622610...
Karibu Autoguru workshop kwa mahitaji ya fenicha mbali mbali
Tembelea www.autogurugarage.co.tz
Tuandikie
info@autogurugarage.co.tz
0688767668//0715967107