Unabei gan mkuu??Mwenye External Hard Drive/Disk yenye kuanzia gb 100 mpk gb 500 aniuzie
Au ht mwenye flash yenye 32gb aniuzie
Bajeti ni Pesa kidogo tuu
Bado unayo mkuuYangu ni 320gb
Unayo uniuzie mimiUnabei gan mkuu??
Mkuu 30 hatuongei???nina flash gb 64 nipe 40000
Bado ipoBado unayo mkuu
IpoUnayo uniuzie mimi
hapana mkuu 30 ni hizi za 32gb ninazo piaMkuu 30 hatuongei???
Hzo flash ni aina gani na garantii muda gani? Ungeweka na tupicha kdg mkuuKaribu Hellenea Enterprises ujipatie flash za sandisk mpya kwa bei nafuu sana
8Gb =14,000/-
16Gb=18,000/-
32Gb=30,000/-
64Gb=35,000/-
128Gb=45,000/=
Tunapatikana Tegeta Sikansika kwenye kituo cha Mafuta cha Oilcom
Tupigie simu no 0711972446
Karibu sana