Kupanda kwa bei ya Viwanja Dodoma

Kupanda kwa bei ya Viwanja Dodoma

Good Neighbour

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2017
Posts
942
Reaction score
899
Kuhamia kwa serekali Dodoma kutafanya viwanja vipande bei maradufu.
2a0f69644b63d94e5d63a18155203682.jpg


Ushauri wangu kwa wanaotaka kuhamia dodoma na bado hawana viwanja,mashamba dodoma kuwa muda ndio huu wa kushughulikia na jambo hili kabla bei hazijapanda sana.

1.Karibu tukusaidie kupata eneo unalolitaka kwa bei nafuu na nzuri sana.kwani bado kuna maeneo mazuri(potential lands) kwa bei nafuu sana kuanzia milioni 1.6 mpaka milioni 30 kwa ekari moja.

2.Hatufanyi kazi kama dalali ila kama wakala na tuko kwenye process za kufungua kampuni "Good Neighbour real estate company"
Malipo yetu ni 10% ya biashara(mfano;ukinunua eneo milioni 2 basi malipo ya wakala ni laki 2 tu) Tofauti na madalali wanavyofanya,hapa unajua bei halali kabisa.

3.Tusipuuzie jambo hili ndugu zangu,ardhi inathamani sana kwa wanaotambua na kwa Dodoma inapanda bei kila kukicha!!!Tuwekeze mapema

4.Kwa mawasiliano zaidi 0767833496/0659605358

5.Yafuatayo ni baadhi ya maeneo ambayo bado hayajauzwa na bei zake ni nafuu sana
c90a4cf41cabd8107789e9ee83adc255.jpg

afa491bb99ce2b233ccce248f4fee084.jpg
8c66ea9c3716a5e60e9295bdd78787d5.jpg
ce92a33f8acd5d2833743be83dc7df09.jpg
049d27efdf11fb5c0a74b3e6ea79551d.jpg
8177be66debd87afb4334b659df5e2a3.jpg
6daac6691e49ac3288348b6e6f47f46f.jpg
75a73e985aa603e9b878adff540ce3fa.jpg
90c3de229e9a7c4678570c7a88163ecb.jpg
873d382fae442b0a830fe41f13b7cd6f.jpg
5fd1db88ab5180bb6b87389dead1aaaa.jpg
 
Serikali imekataza watu kuuziana maeneo kiholela huko Dodoma, wewe unataka kuuza hayo maeneo kwa kibali cha nani?
 
Taja nawezapenda eneo kwa kulifahamu cio picha,mfano, bwigili,chamwino,makulu ,ihumwa nk sawasawa?
 
Taja nawezapenda eneo kwa kulifahamu cio picha,mfano, bwigili,chamwino,makulu ,ihumwa nk sawasawa?
Ndio mana tunaweka namba za simu kwa mawasiliano zaidi.Hatuwezi andika kila kitu humu,unaweza anza niuliza vipi umbali toka barabara kuu?je town centre?
Nafikiri mtu aliye serious huchukua hatua na sio wote wanafamu mitaa/kata mbali mbali pengine wengine wanajua jina chamwino ila hata hawajui ilipo.
Karibu sana mkuu,tumeweka namba zetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom