Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nina survey plots mbili naziweka sokoni. Ziko Puna kigamboni- umbali ni 45km kutoka ferry, umeme uko tayari, barabara ya rami imeishia 20km kutoka ferry but inaendelea kujengwa kwa phase. Bei...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Sale ya Siku Mbili, Pata Domain name ya kijanja ya xyz kwa shilingi 12000 kwa mwaka, email 5 kwa shilingi 25000 kwa mwaka na wordpress hosting kwa shilingi 20,000 kwa mwaka.Ofa hii inapatikana...
0 Reactions
0 Replies
938 Views
Make:Nissan Model:Navara Year:1998 Engine Capacity:2779cc Fuel-Diesel Transmission:Manual Gari ipo katika hali nzuri Bei:25 millions Call:0787395557 Whatsapp:0715292210
0 Reactions
0 Replies
718 Views
Sifa:single self, maji na umeme,kuwe na car parking Wadau kwa yeyote anaefahamu room Uliona anijuze Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Tunataka ku-print vyeti vya wanafunzi wetu wa chuo cha hotel, tourism, computer(veta reg.) ila chngamoto ni printing press gani nzuri inayotoa vyeti bora ambavyo hata mtu akitaka kufoji aumize...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu, Habari? Nilipo natafuta viatu vya Mpira (adidas/puma). anayeuza aje pm tufanye biashara.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Igiha lightening cream inaondoa chunusi, madoa, inalainisha ngozi inaondoa makunyanzi na kukufanya uwe na weupe mzuri mwili mzima bila kukuachia sugu tuna mawakala baadhi ya mikoa ya Tanzania na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ninatengeneza na kubuni madirisha na mageti, yenye urembo na maua yenye kuvutia na kuipendezesha nyumba au ofisi yako. Ninapatikana Mbezi Msakuzi mtaa wa Lubaba. Mawasiliano: 0716355787
1 Reactions
1 Replies
992 Views
Wanajamvi kwa yeyote anaeweza kunisaidia upatikanaji wa COIL ya pikpik tajwa iwe mpya au used anijulishe ninauhitaji nayo sana. Namba 0715100687.
0 Reactions
1 Replies
907 Views
Kama heading ilivo hapo juu, kwa Wenye uhitaji wa shamba au kiwanja maeneo ya kigamboni..... Wote mnakaribishwa Mawasiliano 0765407824
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wana Jukwaa. Chuo cha Maji kinatoa huduma zifuataza katika sector ya maji na mazingira: · Utafiti wa maji ya ardhini (groundwater exploration). · Usimamizi na uchimbaji wa...
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Ndugu wanajamvi, Nilikuwa natafuta eneo la shamba ambalo liko katika miundombinu ya umeme na maji maeneo ya kibaha. Sio lazima iwe karibu na barabara kuu, hata likiwa ndani itakuwa poa endapo...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu nauza ear phones kwa bei rahisi mno Ni imara Zina base Sauti murua Waya mgumu Ni ndefu na zina urefu wa kuridhisha Zinadumu sana Kiukweli hutojutia kununua Bei ni tsh 5000/= tu
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Trekta Massey Furgesorn MF255,Hp 80 namba DHU Linauzwa 22M maongezi yapo.
0 Reactions
0 Replies
558 Views
power bank inauzwa 15000 tu
0 Reactions
4 Replies
712 Views
Habari wakuu, Inatafutwa iphone mpya au used yenye condition nzuri. Iwe kuanzia iphone six na kuendelea, storage size yoyote na muuzaji awe ndo mmiliki halisi wa hiyo simu (kwa uthibitisho)...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Kama kichwa kilivyojieleza hapo juu nauza simu ya Tecno Phantom six kwa sh 430000 ina miezi miwili tangu itoke dukani na warranty card yake ipo.Nimepata shida ya haraka ndo mana nimeona...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Toyota premio year : 2004 engine: VVTI KM : 94000 MIL 12,000,000
0 Reactions
5 Replies
10K Views
Ni mitsubishi gx-560st bei ni laki 6 ukiihitaji ni pm
0 Reactions
4 Replies
843 Views
Kama unayo kwa 10000/= haiongezeki, haipungui, chamsingi isiwe kimeo, njoo pm.
0 Reactions
7 Replies
698 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…