Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wadau. Hili ni tractor aina ya Massey Ferguson Horsepower 255. Tunakupatia na jembe lake bure ukinunua tractor. Lipo maeneo ya Bunju. Japo biashara itamuhusisha mtu aliyepo popote...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Je Uliwahi kua na plan ya kujenga Nyumba ukakosa pakuanzia? Basi usiwe nawasii MA Architecture ni solution. MA Architecture ni wataalamu wabobezi wa fani ya uchoraji wa ramani za majengo ya aina...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Mimi ni kijana nilie amua kujiajili kwa kuanzisha mradi wa kutengeneza nishati ya mkaa mbadala, mkaa huu unatokana na taka ngumu.Nimeanzisha kiwanda hiki na kushirikisha vijana wenzangu na...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
nataka smart TV bei iwe zaidi ya kitonga Brand ; Samsung au LG , "32 Budget yangu <350 Pesa mfuko wa shati ********UPDATE******* NIMEONGEZA DAU WAKUU Budget >400k pesa mfuko wa shati
2 Reactions
43 Replies
5K Views
RevoCom Delivery: Hellow mwenye shida ya kuekewa Anti Virus anicheki ...15k only Duration 1 year..Ur welcome 0769509430 whatsup Jali PC yako,Jali data zako by checking us on 0769509430
0 Reactions
2 Replies
752 Views
ENGEN NI VVTI IMETEMBEA KILOMITA 130000 GARI HILI HAIJAWAHI KUPATA AJALI,WALA BODY KUPINGWA RANGI..... VIBALI VYOTE VIKO SAWA YAANI GARI HAIDAIWI..... GARI INAUZWA MILION 7.... KWA MAWASILIANO...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Call/wasap 0766607949 Tsh 30000....
1 Reactions
20 Replies
6K Views
Heshima kwa waungwana wote. Nimeamua kujenga ka-jumba kangu Morogoro na ningependa kujenga kwa matofali ya kuchoma. Swali - Je Kuna mtu anajua tofali imara za kuchoma zinapatikaneje (kwa...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Ndugu zangu natafuta tenda ya kupika na kulisha watu chakula.Mwenye connection tafadhali njoo DM.nitashukuru Niko kigamboni.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika msimu huu wa senene Victoria Vachino kupitia idara ya Lake v fishmonger wanakuletea Senene kutoka Bukoba kwa bei ya TSh7000/= zinapatikana mkoa wa Dar es Salaam Mbagala zakhem na Kimara...
7 Reactions
50 Replies
8K Views
Heshima mbele wakuu. Natafuta popo hai. Nitawapata wapi? Nataka niwanunue kwa kufuata taratibu za kisheria.. With much thanx in advance.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wana jamii. Natafuta korosho kg 100 sasa hivi. Kwa Mtu alokuwa nazo hapa dar .Raw (white kennels) kama unazo nijulishe namba 0629839854
0 Reactions
3 Replies
774 Views
Iphone 6s 16gb Gold Contacts 0712705942
0 Reactions
2 Replies
667 Views
Habari Mimi nauza madini aina ya feldspar yanayotumika katika utengenezaji wa ceramics. Anayehitaji ani-pm.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
JE UNAHITAJI WINO WA PRINTER AU UNATAKA KUPUNGUZA GHARAMA ZA MANUNUZI YA WINO WA PRINTER YAKO #Tonercartridgerefill NI SULUHISHO LA MATATIZO YAKO Do you know you can use your cartridge more...
0 Reactions
9 Replies
9K Views
haya majiko mazuri hivi yanauzwa bei gan???
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Natumai mu wazima wote kuna blog ina uzwa ina watembeleaji wa kutosha pia ina program yake kwenye playstore waweza ichekiHAPA aliye na uhitaji anitafte 0713861567 kwa maelezo zaidi
0 Reactions
1 Replies
751 Views
Wana JF ninahitaji miche ya Matunda. Ni sehemu gani dar es salaam au Bagamoyo ninaweza kupata miche mizuri na kwa bei nafuu. Ninahitaji zaidi ya miche 300. Miche ya maembe na mapapai
1 Reactions
8 Replies
2K Views
www.agiza.online ni ecommerce website iliyotengenezwa kwa utalaam wa kiwango cha juu na Kampuni ya Buibui Technologies na ipo sokoni. Ukifika bei tunakubadilishia logo na kuibadilisha domain name...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kazi kwa wamiliki, pia madalali mnaweza changamkia hiyo tenda. Ni PM kwa mawasiliano zaidi
0 Reactions
0 Replies
805 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…