Wanajamvi naombeni msaada wa namna gani naweza kupata tokeni ili niweze kutoa huduma ya kusajiri laini za voda pamoja kupata app ya kusajilia laini za airtel naomba kuwasilisha
Pole na majukumu ya siku wapendwa
Nimeamua kuja katika forum hii lengo kuu likiwa ni kutaka kujua ni namna gani ayctaratibu zipi naweza kupata wakala mkuu wa kuweza kuchukua bidhaa yangu pindi...
Habari zenu wadau
Natumai humu wapo wadau wa iringa maeneo ya mafinga nilikuwa naomba kujua bei ya reja reja ya ubao aina ya saprus wenye ukubwa wa mbili kwa Sita, 2 by 6 na mbili kwa nne 2 by...
Tunakupa Reseller Website hosting Package yenye Uwezo ;-
Unlimited Disk space
Unlimited Bandwidth
Unlimited cPanel Accounts
Free Technical Support
Gharama yake ni Tzs 150,000/=
Mwaka Mzima...
Wadau kama mada inavosema soon mm nahamia Temeke, mwenye access na vyumba maeneo hayo anisaidie,
Sifa za chumba:
1.Kiwe self
2.gypsum na tiles
3.Ikiwezakana isiwe changanyiken sana...
Habari zenu wanaJF?
Nilikuwa nauliza kama kuna mtu anauza simu used aina ya Nokia ya tochi a.k.a Obama anichek pm
Napoishi:Buza Kanisani
Bei ya simu iwe kuanzia 10,000/= hadi 12,000/=
Asanteni