Habari.
Nyumba inapatikana Mikwambe-Kigamboni DSM, karibu na site ya mh. Ndugai (kitu maarufu).
Eneo limepimwa na ina hati tayari. ina eneo la skwea mita 801,
Nyumba ina vyumba viwili na master...
Mnitafute kwa namba 0625511737.
Pia kwa Mwenye Nyumba wanaotafuta wapangaji karibu ni sana. Mim ni Dalali wa kupangisha Nyumba na vyumba popote ndani ya Dar.
Hi,
Kihotel/mgahawa kinahitajika haraka mpanda,katavi.
Hata mwenye frem inayoweza/zinazoweza kuwa mgahawa/juice place.
Mwenye navyo tuwasiliane kwa pm
Asanteni.
Kwa nini utembee na mzigo mkubwa wa kama External Hard Disk pata Flash disk yenye capacity 124gb + a bonus of the latest good Hollywood movies LIKE JACK RYAN-SHADOW RECRUIT,NON-STOP,ESCAPE PLAN...
ENEO ; kinyerez kituo kinaitwa garage karibu na flamingo bar. Karibu na barabara. Nyuma ya frame
UKUBWA ; 1145sqm.
BEI ; 65mill maelewano yapo
DALALI ; atapata mgao 5% ya mauzo
Nauza mbwa wa wadogo wa ndani pets dog wamezaliwa watano wadume wanne na majike wawili toa order mapemmama yao huyu baba yao watoto bei ni laki tatu na nusu .mawasiliano 0719708708
Ninauza dawa ya kusafisha na kung'arisha tiles/ vigae pamoja na masinki vyoo na masinki ya kunawia mikono. Lita 1 ninauza Tsh 5000. Dar nakuletea popote ulipo lakini mikoani utatumiwa.
Kwa...
Tunauza simu mpya na free delivery kwenda sehemu yeyote Tanzania.
Offer kwa ajili ya sikuku, Samsung S6 plain 32gb Gold.
Duka limebobea ktk samsung na iPhone simu na accessories tu.
Weka maelezo yafutayo:
1.Mahali nyumba ilipo kwa maana ya mtaa wilaya
2. Ukubwa wa nyumba na eneo la kiwanja.
3. Huduma muhimu zilizopo i.e maji na umeme...