Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta gari Toyota IST iliyo katika hali nzuri kuanzia namba C au D bajeti yangu 7m
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza viwanja eneo la Kisemvule, tunakata viwanjabkwa ukubwa unao taka, hakuna dalali. Eneo lipo karibu na barabara kuu iendayo Kilwa, umeme upo karibu kabisa, maji yapo karibu, shile ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Natafuta duka linalodili na mashine za maji Yamaha nichek kwa no 0765509395
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyo eleza nahitaji kitanda 5*6 na dressing table kama unavyo unauza njoo pm.
0 Reactions
1 Replies
743 Views
Wadau nilinunua hii mashine mwaka jana mwezi wa 11 hivyo bado mpya ina milango 8 na master,shilingi 600,000/=,kinachonisababisha kuuza ni kukosa usimamizi wa biashara niliyotaka kuifanya...
0 Reactions
5 Replies
771 Views
Toyota Estima inauzwa kwa 7Million Prado inaenda kwa 25Million zipo kwenye conditions nzuri sana.
0 Reactions
0 Replies
815 Views
Mzazi pamoja na mwanafunzi aliemaliza form four unakumbushwa kuwatafta hawa walimu maarufu pale mwanza kwa tuition za maandalizi ya kidato cha tano. Mwl Mkandawille ni maarufu kwa chemistry namba...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Nauza Metal feni iliyotumika muda mfupi, infaa kwa matumizi ya kumbi za mpira, baa, club, kanisani na sehemu kama hizo. Bei ni 120,000. Tsh. Ni inbox nikuuzie.
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Nauza feni yenye material ya chuma. Inafaa sana kwa wenye sehemu za kuonyeonyeshea Mpira, makabisani, bar na sehemu zenye mikusanyiko ya watu. Bei Tsh 90,000.
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Selling iPhone 7 32gb matte black clean condition, for more information call, txt or WhatsApp 0658868229
0 Reactions
1 Replies
3K Views
iPhone 7 32gb used but still in good condition, matte black color [emoji338]0658868229 for more information
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wakuu kwema, nimepata mtaji kidogo na kwa utafiti wangu nimeamua nifungue kiwanda kidogo cha kukamua mafuta ya alizeti na chakula cha kuku toka kwenye mashudu. Sasa naombeni wenye uzoefu na hii...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
We deal with >injector pumps and injector nozzle repair >engine overhaul and all engine problems >car painting >car parts suppliers >car diagnosis >LOCATION Tabata magengeni opp CRDB bank...
0 Reactions
0 Replies
524 Views
Mimi nifundi umeme wa MAJUMBANI na VIWANDANI call me 0769233063/0678278811
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MILIKI BLOG YAKO SASA [emoji117]Tunatengeneza blog za kisasa kwa bei poa tsh 12,000/- [emoji117]Tunatengeneza youtube channel tsh 15,000/- Wahi kabra ofa aijaishaaaaaaaa Call...
0 Reactions
0 Replies
699 Views
Habari wakuu. Nahitaji gari ya IST namba ianzie D na kilometa zisizozidi 100,000. Gari isiwe na tatizo lolote lile. Vibali vyote viwepo. Bajeti yangu ni Milioni 7 cash. Nipo Mbezi beach...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu Nawasalimu Kama nilivyo ainisha hapo juu, nahitaji piki piki kwaajili ya shughuli zangu za kilimo na Ufigaji. Kilingana na eneo ninalofunyia shughuli hizi kua mbali na makzi yangu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za majukumu waungwana? Natafuta chumba kimoja tu cha kupanga maeneo ya ubungo plaza kwa bei ya 50,000-80,000 kisiwe mbali na barabara ya kuelekea city centre. Mwenye nacho ani PM!
0 Reactions
1 Replies
762 Views
Sold
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…