Habari wadau,
Niko nafanya mchanganuo wa kufungua Biashara.
Ninahitaji mashine zifuatazo:
Mashine ya kufua upepo,na mtungi wake inayowaza kujaza matairi ya magari ya kutumia petrol na umeme...
Wana jamii naomba niwatambulishe vijana wanaofanya branding ya vifungashio (paper packaging) vya karatasi vya 1Kg, 2Kg,5Kg n.k ili kuongeza thamani ya bidhaa yakounaweza ukacheki nao # 0765858758...
Nilikalibishwa maongezi ya kibiashara na mfanyakazi mmoja wa kampuni ya Lifecase wanauza belt za kupambana na tatizo la kibamia. Akaniambia ninue kwa jumla kwa 35,000/= niuze kwa elfu hamsini...
Mambo vp nilikuwa na shida ya vifungashio anaejua WAP ninaweza kuvipata vifungashio vya vyakula mfano kama vile vya diamond Karanga au chipsy snack naomba anijuze au ni kampuni gani ambayo...
Nauza viwanja eneo la Kisemvule, tunakata viwanjabkwa ukubwa unao taka, hakuna dalali.
Eneo lipo karibu na barabara kuu iendayo Kilwa, umeme upo karibu kabisa, maji yapo karibu, shile ya...
Wadau nilinunua hii mashine mwaka jana mwezi wa 11 hivyo bado mpya ina milango 8 na master,shilingi 600,000/=,kinachonisababisha kuuza ni kukosa usimamizi wa biashara niliyotaka kuifanya...
Mzazi pamoja na mwanafunzi aliemaliza form four unakumbushwa kuwatafta hawa walimu maarufu pale mwanza kwa tuition za maandalizi ya kidato cha tano.
Mwl Mkandawille ni maarufu kwa chemistry namba...
Nauza Metal feni iliyotumika muda mfupi, infaa kwa matumizi ya kumbi za mpira, baa, club, kanisani na sehemu kama hizo. Bei ni 120,000. Tsh. Ni inbox nikuuzie.
Nauza feni yenye material ya chuma. Inafaa sana kwa wenye sehemu za kuonyeonyeshea Mpira, makabisani, bar na sehemu zenye mikusanyiko ya watu. Bei Tsh 90,000.
Wakuu kwema, nimepata mtaji kidogo na kwa utafiti wangu nimeamua nifungue kiwanda kidogo cha kukamua mafuta ya alizeti na chakula cha kuku toka kwenye mashudu.
Sasa naombeni wenye uzoefu na hii...
We deal with
>injector pumps and injector nozzle repair
>engine overhaul and all engine problems
>car painting
>car parts suppliers
>car diagnosis
>LOCATION
Tabata magengeni opp CRDB bank...