Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau tunasafari ya kaskazini kutembelea vivutio vyetu Na pia kuinjoy utalii wa Tanzania. Pls join us ni Tarehe 9-12 Dec 2016. Tutatembelea Tarangire Na Ngorongoro Crater. Mchango. Wanafunzi...
4 Reactions
23 Replies
4K Views
hiii.... Youtube channel inahitajika faster kwa anaye uza. contact via watsapp. 0756407026. VIGEZO. Iwe conected na adsence account. Isiwe na copyright contents. pia isiwe na Community...
0 Reactions
0 Replies
734 Views
Natafuta mtaalamu wa kunitengenezea cover ya kitabu changu ( design a book cover)
1 Reactions
1 Replies
773 Views
Sina mashine Zimekwisha
2 Reactions
34 Replies
7K Views
Kwa miaka mingi nimekuwa nikihangaika na mafundi wa Solar systems bila mafanikio .Mpaka sasa nimefikia hatua ya kuamini kwamba hapa nchini hatuna mafundi wabobezi wa Solar Systems kabisa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta PC iwe na uwezo mkubwa, graphics card ya maana HDD 500 Ram 4 Core i5 processor 8 good condition, Bettry life 6 hours Appearance nzuri, iwe nyembamba, iwe mpya, iwe na chaji yake na pad...
0 Reactions
43 Replies
3K Views
Kwema humu? Namtangazia mtu Biashara, Samsung Galaxy Tablet 2 iliyotumika inauzwa, Ukubwa wa Screen 10.1 inch. Android Version 4.0.4, Internal Storage 16GB Ni nzima kabisa, Inatumia line...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
  • Closed
Kitanda cha CHUMA kizuri,kimetumika kidogo sana na GODORO lake vyote kwa pamoja vinauzwa jumla 200,000. Viko tegeta DSM.Mawasiliano - piga,SMS au whatsapp 0628-796778 au 0628-615685
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Bei 170,000/= inapatikana mbezi luis, inatumia umeme wa dc na ac ndani ya box kabisa nicheki 0787 429 104.
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Bei 5.5mln Milage zinasoma 90000 Gari iko Mwenge dar Kwa mawasiliano piga sim 0715591141 Ova/ATTACH]
1 Reactions
1 Replies
804 Views
Mawasiliano 0715211872,,,nipo Makumbusho Stand Core i5, 700hdd, 4gb ram, hp probook 450 Price: 650,000
1 Reactions
4 Replies
968 Views
Habari za humu wakuu,nahitaji msaada wa mtu anayefanya shughuli ya kutafuta masoko ya mazao ya Karanga na Paprika.Malipo tutakubaliana nahitaji mtu serious Sio mbabaishaji
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mambo vip wana jf je una biashara yako? na unapenda kuitangaza kupitia blog au web site usiogope kutana na mzizimpya akutengenezee blog ya bei rahisi kabisa ni shilingi 5000 tu pitia blog yangu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwnza kabisa nijukum langu kua salim ,,wana jf habari zenu?,, pia napenda kuwa tangazia wakulima Wa vitunguu yakwamba Nina mbegu bora ya vitunguu Nauza Bei safi kabisa, KW mawasiliano Mp or...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
wakuu nauza incubator mayai 96; kwa bei nafuu kabisa napatikana mwanza mjini tafadhali nicheki kwa namba hizo hapo juu./ email kwangumasanja@gmail.com
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Kina uwezo wa kukunjwa na kukunjika kwa jinsi utakavo, nipo Dar es salaam kama unahitaji nitafute namb >> 0766166483
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Wadau Kwema?? Nina shida moja, nahitaji ku-transfer kiasi fulani (Arround Tshs 50,000 - Tshs 200,000) nje ya nchi ili huyo atakaepokea anitumie mzigo fulani hivi online. Shida ni kwamba Supplier...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kama kchwa knavyojieleza nahtaj hio simu kama unayo njoo pm tuyajenge, offer yng ni 400k. Note:simu iwe kwnye good condtion
0 Reactions
0 Replies
538 Views
Waheshimiwa, Nisaidieni wapi naweza kupata gauni zuri la harusi (hasa yale za kihindi) ila yawe na stara ya kulandana na imani ya Kiislam. Kwa uwezo wangu naomba iwe kati ya elfu 50 hadi elfu...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Tsh 850,000 available in Dar 40 inch Haina shida yoyote
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…