Nauza mbegu bora za vitunguu

Nauza mbegu bora za vitunguu

Tabash yamashta

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
271
Reaction score
210
Kwnza kabisa nijukum langu kua salim ,,wana jf habari zenu?,, pia napenda kuwa tangazia wakulima Wa vitunguu yakwamba Nina mbegu bora ya vitunguu Nauza Bei safi kabisa, KW mawasiliano Mp or 0765456685" Ulipo tupo Napatikana Arusha chugga ndani,
 
Sijui kama utauza humu.yaani tangazo lako Lina maswali wengi sana Kwa mnunuzi namba ya simu sio suluhisho rekebisha tangazo na watu watakutafuta.
 
Kwnza kabisa nijukum langu kua salim ,,wana jf habari zenu?,, pia napenda kuwa tangazia wakulima Wa vitunguu yakwamba Nina mbegu bora ya vitunguu Nauza Bei safi kabisa, KW mawasiliano Mp or 0765456685" Ulipo tupo Napatikana Arusha chugga ndani,
nataka kulima vitunguu mwezi wa tano moro una mbegu ipi nyekundu nyeupe
 
Hiyo bei ni rahisi mkuu ila punguza kidogo tufanye biashara!![emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
 
Sijui kama utauza humu.yaani tangazo lako Lina maswali wengi sana Kwa mnunuzi namba ya simu sio suluhisho rekebisha tangazo na watu watakutafuta.
kama ni muhitaji? utahitaji tu, kama ni wamaneno utabaki kuwa wa maneno tu, Tangazo la mbegu ya vitunguu, kwamba Tunauza mbegu ya vitunguu ,,Hapo huelewi nini??
 
Vitu huu ukivihifadhi vizuri hukaa mwaka mzima. Uviweke sehemu kavu
 
Ndio utupe mkanda mzima na wengine tujifunze maana tusha andaa mashamba tunajishauri tuweke nyanya au vitunguu.. Funguka pls
Ni hadithi ndefu,,
Ila kwa ufupi tulilima vitunguu na hatukuambulia hata cha mboga
 
Kuna mtu jana nime mwambia Nataka kulima nyanya na vitunguu akaniambia kama ni kijijin.. Je nimeaga kwetu , nikawa sijamuelewa akaniambia kabla ya kulima lazima uende kwa babu maana watu ni washirikina unalima wanachukua mazao yako bila kujua..

So mm jibu langu nikuwa nguvu ya mugu nilionayo wala sitishiki.. Nitapiga sala katika shamba husika na nita bariki udongo husika kwa maji ya baraka.. Na Hakuna nguvu iyakayo chezea shamba langu..
 
kama ni muhitaji? utahitaji tu, kama ni wamaneno utabaki kuwa wa maneno tu, Tangazo la mbegu ya vitunguu, kwamba Tunauza mbegu ya vitunguu ,,Hapo huelewi nini??
Yaani wewe subiri nikuache Kwa kutojielewa Na wanunuzi wako
 
Kuna mtu jana nime mwambia Nataka kulima nyanya na vitunguu akaniambia kama ni kijijin.. Je nimeaga kwetu , nikawa sijamuelewa akaniambia kabla ya kulima lazima uende kwa babu maana watu ni washirikina unalima wanachukua mazao yako bila kujua..

So mm jibu langu nikuwa nguvu ya mugu nilionayo wala sitishiki.. Nitapiga sala katika shamba husika na nita bariki udongo husika kwa maji ya baraka.. Na Hakuna nguvu iyakayo chezea shamba langu..

Hizi akili ndo huwa sipendi kusikia. Tumekuwa maskini kwa ajili ya haya mambo.
 
Kuna mtu jana nime mwambia Nataka kulima nyanya na vitunguu akaniambia kama ni kijijin.. Je nimeaga kwetu , nikawa sijamuelewa akaniambia kabla ya kulima lazima uende kwa babu maana watu ni washirikina unalima wanachukua mazao yako bila kujua..

So mm jibu langu nikuwa nguvu ya mugu nilionayo wala sitishiki.. Nitapiga sala katika shamba husika na nita bariki udongo husika kwa maji ya baraka.. Na Hakuna nguvu iyakayo chezea shamba langu..

Hizi akili ndo huwa sipendi kusikia. Tumekuwa maskini kwa ajili ya haya mambo.
 
Hayo ni maneno ya wapuuzi nilipoanza kulima niliambiwa vivyo hivyo lakini sikuhangaia wala kukata tamaa, kweli msimu wa kwanza nilipata mazao kidogo ila msimu wa pili sikufanya kosa niliongeza juhudi nikapata mavuno ya kutosha msimu wa tatu na kuendelea wakaanza kuniita mchawi kumbe hata sijawahi kwenda kwa mganga wala kwa nani zaidi ya kumuomba Mungu na kuzidisha juhudi kila msimu najifunza kitu kipya hakuna mganga kama kumtegemea Mungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom