Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari Wadau... nahitaji mwenye simu original Brand yoyote kati ya Huawei,LG,Sony,HTC au Samsung iliyo kwenye hali nzuri..nicheki tufanye biashara.
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Naomba kukopeshwa 200,000/=Tsh naweka friji yangu kama bond aliye tayar anichek 0784426373.
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari zenu Wakuu Poleni na majukumu ya Kujenga nchi. Kwenye thread hii utaweza kujipatia viatu vya kisasa kwa wanaume na nguo pia za kisasa. Kama utapenda chochote tafadhali tupigie simu...
0 Reactions
31 Replies
13K Views
Habari wakuu Kuna haka ka kitu kapo fb na pia play store wana app inaitwa credit fund.. Wanasema wao wanatoa Mikopo,,unaweka akiba then ndo unakopa... Nilikua naomba kujua anae wafahamu hawa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nauza dagaa wanafaa kwa chakula cha kuku Nili ziagiza kwa matumizi ya nyumbani lakini zime kuja tofauti ziko low quality haziku andaliwa vizuri zipo ndoo mbili kubwa tu nipo maeneo ya banana
0 Reactions
1 Replies
2K Views
habari wadau, nahitaji kiwanja chenye vibali vyote kwa mjibu wa sheria kwa bei inayoanzia na 1.5 mil hadi 2mil kiwe dsm. kipaumbele ni kimara, mbezi, na maeneo mengine yanayokuwa kwa kasi. mwenye...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
*BRAND NEW SAMSUNG S7 EARPHONES IN TOWN* Jipatie sasa earphones bora za samsung s7 kwa bei nafuu sana Kwasasa mzigo unapatikana DAR ES SALAAM, DODOMA na ARUSHA kwa shilingi 5500 tu. NB: Soon...
0 Reactions
4 Replies
805 Views
Habarini wandugu, nakaribisha wadau wote wenye interest ya kujua au kuhitaji vifaa vyovyote vile vinavyohusiana na Usindikaji wa chakula, packaging, catering equipments, matumizi yake na wenye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza moderm ya airtel na voda Zote kwa pamoja ni 40,000/- Moja 20,000/- Karibuni nipo DSM. Mwenye uhitaji Njoo PM
0 Reactions
1 Replies
577 Views
Kama uzi huu unavyojieleza, natafta eneo lenye muingiliano wa watu kwaajiri ya kuweka tigo pesa, Ikiwa pia unaeneo lako la kaz mf duka,bar,hotel nk na unaona nikiweka hiyo tigopesa...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Mimi ni mkatoliki Nina duka Katavi wateja wanakuja kila siku kukiulizia hiki kilichoandikwa na Emmiliana Kondowe sijui nikipate wapi kwa wingi ili niuze,mwenye uelewa tafadhali niPM
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Kitabu kinapatikana duka la TPH lilipo Samora kwa bei ya Tsh 20000. Pia unaweza kuagiza ukaletewa. ========================== The book is available at TPH Bookshop located in Samora Avenue Dar es...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Pata huduma ya ku unlock I Phone yako ambayo ipo na I cloud Huduma ni ndani ya masaa 24 hadi siku 5 kulingana na complexity ya simu yako Tunapokea simu za aina zote Clean na Blacklisted marked...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wakuu naomba kujuzwa bei ya Hizi Machine za kuprint brand name kwenye vifungashio mbali mbali kam hizi Disposable plastic Glass na pahala zinapatikana
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana Jamiiforums naomba wenye kujua mshereheshaji (MC) awe wa kike au kiume ambaye yuko mahiri katika fani hiyo kabila lake awe ni MPARE halisi naomba ani PM. Haijalishi yuko sehemu gani ndani ya...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Nb. Sishughuliki na tatizo la kuongeza nguvu za kiume. Hapa nawahitaji wanandoa wanaowahi kufika kileleni na kuwaacha wenzi wao hawajaridhika, kujeni inbox niwapatie utatuzi wa shida hii. Gharama...
0 Reactions
0 Replies
704 Views
  • Closed
Amani kwenu wadau, mwenye setup ya metfone dashbord inayo support modem za zte / vodafone naomba anisaidie link au setup yenyewe. Nime google sana, lakini sijapata link inayofanya kazi zote ni...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
INAHITAJIKA HARAKA YENYE SPECIFICATIONS ZIFUATAZO: INPUT: 100-240 VAC 0.7A OUTPUT : +15 1.7 A 50/60 Hz ( NAIHITAJI HARAKA SANA KAMA UPO DAR TUWASILIANE)
0 Reactions
0 Replies
944 Views
Wasalaam Kiwanja kilichopimwa kinauzwa ,kiko NYEBURU Mita 800 kutoka barabara kuu ya lami kituo cha Italian (ukielekea Chanika upande wa kulia) SIFA ZAKE;kimepimwa kwa uzito wa chin LOW DENSITY...
0 Reactions
0 Replies
852 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…