Kuna hizi TV za kampuni mpya ya Alitop naona Zina Bei ndogo Hadi naogopa ingawa napenda vya Bei rahisi, kama Kuna aliezitumia anihakikishie ubora wake.
Good morning ladies and gents,
Wadau nilipata majanga ya kuibiwa TV, Friji na jiko siku kadhaa nyuma. Mimi ni mwajiriwa na kamshahara sio haba ila nikisema ninunue vitu vyote inakuwa ngumu, wapi...
Wasiliana nasi leo Kwa WhatsApp no 0656965704 Tukusaidie kuipa Biashara Yako Maisha.
Huduma Zetu ni:
Logo design
Poster design
Flyers design
Kadi za mialiko na Harusi
Business card design
Banners...
📢 Kwa Nini Ubunifu Bora Ni Muhimu kwa Biashara Yako?
Ubunifu mzuri si anasa—ni silaha ya mafanikio kwa biashara yako! 🎯
✅ Unakutofautisha na washindani
✅ Inavutia wateja zaidi
✅ Inajenga uaminifu...
Habari wanaJamiiForums,
Naomba msaada wa kusaidiwa kupata nyumba ya kupanga za NHC Dar es salaam eneo laweza kuwa Ubungo Shekilango au eneo lolote ambalo litanirahishia kufika hospitali ya...
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosomeka,nahitaji chumba single self.
Bajeti yangu ni 50k hadi 120k.
Ikipatikana haya maeneo itakuwa vizuri zaidi:
Town/mjini, rau, kcmc hadi kule ushirika wa...
FUMIGATION ina jumuisha mambo mawili
1.Kunyunyiza
2.kufukiza
Watu wengi wamewahi kuona FUMIGATION ya kunyunyiza ila hawajui kuhusu FUMIGATION ya kufukiza,,,
Hii inasababishwa na ukosefu wa...
Kituo cha mafuta kinauzwa Mbeys mjini. Kiwanja kina ukubwa wq sq 3000. Bei ni maelewano ya kati ya mnunuzi na muuzaji. Wasiliana nasi. +255761972755,+255612246050. Nyote mnakaribishwa!!!
Nyumba inauzwa Mbeya mjini tshs 130m. Mazungumzo yapo. Ina vyumba 3 vya kulala,sebule,chumba cha chakula na jiko. Wasiliana nasi+255761972755,+25561246050. Nyote mnakaribishwa!
Jengo kwa ajili ya matumizi ya ofisi linapangishwa Mbeya mjini. Ni jengo zuri na la kisasa. Kodi laki 7 kwa mwezi mazungumzo yapo. Wasiliana nasi+255761972755,+255612246050. Nyote mnakaribishwa!!
Habari.
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea. Natafuta fundi mzuri na mwaminifu anaweza kutengeneza Kabati.Showcase.dressingtable nakuendelea.
Pia vijana wawili ambao watakuwa kama wasaidizi...
Habari.
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea.Natafuta fundi mzuri na mwaminifu anaweza kutengeneza Kabati.Showcase.dressingtable nakuendelea.
Pia vijana wawili ambao watakuwa kama wasaidizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.