Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

#furnished 3BEDROOMS (FULLY FURNISHED) APARTMENT FOR RENT IN DAR-ES-SALAAM Tz LOCATION -MIKOCHENI ______________ RENT PRICE USD $2000 PER MONTH 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
0 Reactions
3 Replies
338 Views
Nyumba inauzwa Mbeya mjini tshs 45m. Wasiliana nasi+ +255761972755,+255612246050. Nyote mnakaribishwa
0 Reactions
2 Replies
469 Views
Nyumba Inauzwa Kimara. Mahali: Kimara Temboni, Mtaa wa Mtakuja. Sifa za Nyumba: •Ipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro. •Ina chumba chenye choo ndani, sebule na jiko. •Ina mpangaji analipa...
3 Reactions
11 Replies
886 Views
• Direction: Mbezi Luis. Mwendo wa miguu mpaka Magufuli Terminal • Condition bado mpya • Features: -sefukontena ya vyumba vinne -nyumba ya mtumishi ya chumba sebule -fremu 2 za duka -choo...
0 Reactions
0 Replies
389 Views
Freezer lita 280 800k Dsm 0718909429
1 Reactions
6 Replies
605 Views
Kama wewe ni mfanyabiashara una biashara yako unataka iwe inaonekana kwenye Google map yaaani mtu ata aki request a Afike hadi dukani kwako yaani duka linaonekana kwenye raman Ya dunia kama...
2 Reactions
5 Replies
396 Views
Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana. Material: Cotton Bei ya Khanga: sh 20,000/= Bei ya jumla: sh 18,000/= kuanzia Khanga 3 kila moja. Tunapatikana tabata kinyerezi/Makumbusho...
1 Reactions
0 Replies
225 Views
Habari wanajamii forum napenda kushirikiana na nyinyi kitu kimoja hasa watu makini kutoka mkoa wa Kilimanjaro. Mimi ni mwalimu wa chemistry na biology. Nina safari ya kuja Kilimanjaro kipindi...
1 Reactions
0 Replies
226 Views
Unahitaji NYUMBA kwa Kupanga au kununua, Sehemu ya ofisi ama biashara, Kiwanja cha kununua Karibu tukufanyie kazi — 0716442950
1 Reactions
1 Replies
332 Views
Habarini wana JF, Mimi nataka nianze kufanya biashara ya kuku wa kienyeji kutoka ktk hiyo mikoa niwalete Moro. Nauliza kwa wanaofahamu sehemu zenye minada ya kuku huwa ni maeneo gani na hufanyika...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Hello wanajukwaa niwakaribishe kwetu utapata godoro aina zote pia furniture mbalimbali za kupendezesha nyumba/chumba chako Tuna vitanda Kabati Sofa aina zote Ð
1 Reactions
6 Replies
776 Views
#rent INAPANGISHWA VILLA YA KISASA IKO-DAR-ES-SALAAM🇹🇿 MAHALI- MBEZI BEACH UPANDE WA CHINI ——————————————————— KODI USD 1400$/=KWA MWEZI ________________ VILLA YA KISASA...
0 Reactions
0 Replies
296 Views
Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road. Descriptions: *12km from main road (Kibada rd), 2km inside from Mwasonga road. *It's near to box factory and Dar es Salaam...
2 Reactions
1 Replies
265 Views
Tafadhali husika na kicha cha habari hapo juu! Natafuta nguzo za miti (Wooden Poles) Pisi 225 Kwa ajili ya kuzungushia uzio shambani (Nimeambatanisha picha hapo chini). Natafuta zile ambazo zina...
1 Reactions
10 Replies
737 Views
habari wadau nauza mizani ya kupimia uzito wa nguruwe kama attachment ilivyo kwa anayehitaji wasiliana kwa 0626333300
0 Reactions
0 Replies
280 Views
PLOT SIZE 20X20M DESIGN AND CONSTRUCTION SERVICES +255624004650 OFISI ZETU ZIPO SINZA DAR ES SALAAM
5 Reactions
39 Replies
2K Views
Nauza simu yangu iphone Xs haina kipengele chochote, mtumba ya Dubai nmetumia mwezi mmoja tu Bei 350,000/= Simu black nzuri iko kwenye hali nzuri. Napatikana Dar Ubungo Shekilango 0716662397
1 Reactions
2 Replies
499 Views
Eneo Linauzwa Kwa matumizi ya kituo cha mafuta au uwekezaji wowote wa kibiashara. Mji wa Morogoro Wilaya ya Mvomero Kata ya Dakawa. Eneo hili linaangalia barabara kuu ya kwenda Dodoma 🛣️...
3 Reactions
2 Replies
345 Views
Mitandio ya Chiffon inapatikana. Ukubwa: Medium Bei: sh 7,000/= Tunapatikana Tabata Kinyerezi/Makumbusho (Biashara ni ya Mtandaoni), tunafanya delivery. Mkoani tunatuma kwa gharama za mteja...
0 Reactions
0 Replies
167 Views
Habari za majukumu wapendwa Nina eneo langu mwenyewe nahitaji mnunuzi lina heka 3 kwa bei 3.5m lipo njia ya morogoro kutokea bagamoyo kijiji cha mkenge mbele ya fukayosi Eneo lina hati ya...
7 Reactions
98 Replies
4K Views
Back
Top Bottom