Viwanja 2 vinauzwa kwa pamoja.
i. Sehemu: Makuburi, Mabibo. Dar es Salaan.
ii. Ukubwa: 1780 sqm
iii. Vina hati.
iv. Bei 120m
Ni hivi vyenye vidoti vya kijani.
Mawasiliano: 0743-398408
Habari za majukumu wanazengo
mada inajieleza. Viwanja vipo miti mirefu, Malimbe-Mwanza
Ukubwa 70×35m, kimoja kina hati ya ardhi na relevant document kinauzwa 55 mil.
Cha pili hakina hati sababu...
Hello! Eid Mubarak kwenu nyote.
Naomba kujua ni maeneo gani kariakoo ambako kunapatikana machimbo ya SIMU za jumla hasa SIMU ndogo maarufu kama viswaswadu.
Nimezurula sana Leo na bila mafanikio...
👉 Viwanja Kigamboni Kimbiji
👉 Mashamba tambalale
Kwa ufupi.
Eneo la ekari 3.5 beach area
Lipo mkoa wa pwani Kisiju
Karibia na bandari ya Kisiju
Kituo ni Sotele
Km 87 kutoka City Center DSM
Bei ni...
VIWANJA VINAUZWA KIBAHA MAILI MOJA - PANGANI (PLOT NO. 71,73,75)
Eneo lina huduma zote za Jamii.. Hospital, Shule, n.k na ni kilomita 3 kutoka barabara ya Morogoro road mpaka kiwanjani..
Ukubwa...
Ahsante sana ndugu zangu kwa kuniomba nijiunge jamiiforum ili pia niweze kuendelea kutoa elimu juu ya masuala mbali mbali ya ardhi.
Na sasa nimejiunga rasmi na jukwaa hili kwa ajili ya kuendelea...
Hello..
Popo wamekua ni changamoto kubwa sana kwa mazingira yetu ya majumbani na mazingira yanayotuzunguka.Popo husababisha madhara na uharibifu katika nyumba zetu kama
1. Uchafuzi wa nyumba...
Kiwanja kwa matumizi ya sheli kinauzwa Chumbuya mkoa wa Songwe kiwanja sq 2800. Tshs. 300m mazungumzo yapo. Wasiliana nasi +255761972755,+255612246050. Nyote mnakaribishwa!!
Kazi kazi
Nina nyumba Kali inauzwa iko Tabata Kisukuru Ina hati Tsh250ML
Nina kiwanja kinauzwa Tabata Kisukuru ukubwa ni mita 20x30 ila nafasi ya kuongeza kubwa wa eneo ipo, kina faa kujenga...
Habari wakuu.
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, natafuta wauzaji wa rizla mkoa wa mwanza kwa bei ya jumla.
Pm iko wazi. Njoo tufanye biashara.
N.B uwe mwaminifu kama wauza nafaka walivyo waaminifu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.