Pls Wadau!
Mwenye ofisi ya kupanga au anayejua inapopatikana aniitumie taarifa mapema kabla ya kesho Ijumaa: pangolinconsultants16@gmail.com
Maeneo: Along Mwendokasi Rd: Kimara-Posta...
Natafuta mtu nwenye uzoefu wa kuandika research proposal. Sihitaji kuandikiwa nataka tu yeye aipitie na kutoa ushauri kabla hijamfikia supervisor wangu. Ambaye yupo tayar an pm ili tuyajenge
Wadau Pls mwenye ofisi ya kupanga au anayejua inapopatikana aNitumie taarifa mapema: pangolinconsultants16@gmail.com
Maeneo: Alongo Mwendokasi: Kimara-Posta, Kimara-Gerezani, Kimara-Morocco Only...
Ndugu wana JF,
Kwa yeyote ambae ana simu ya ONETOUCH ALCATEL aina kama hyo inavyoonekana kwenye picha, ambayo imezingua ila kioo ni kizima naomba anitafute kwa 0714027443 tufanye biashara...
Dear Potential client, I would like to inform you that Fleetcare Ltd, is an authorized dealer for Donaldson filters in Tanzania. For you are requirements of any filter please contact us. We have...
Nauza kitanda cha chuma 4*6 kwa bei ya 250,000 tu, kina uwezo wa kukunjwa na kukunjika kwa jinsi utakavo
Nipo Dar es salaam kama unahitaji nitafute kwa namb >> 0766166483
Jipatie kiwanja chako sasa kwa Mkopo wa miezi 72. Viwanja vyetu vimepimwa vina hati miliki kutoka wizarani.
Malipo ya awali ni 25% kisha iliyobaki utailipa taratibu kila mwezi kwa miezi 72...
Nyumba self contained yenye vyumba vinne vikubwa ipo kwenye kitalu namba 539,Block F, Ubungo maziwa karibu na Mabibo inapangishwa kwa Tsh laki nne (mazungumzo yapo)
Nyumba iko karibu na Kituo...
Habarini wadau.
Nahitaji kushonesha suti za Harusi, nipo Dar kwa yeyote anayemjua Fundi mzuri aniwekee namba zake hapa tafadhali. Please aliye na reasonable price. Thanks
Ndugu mpendwa
husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu
ENEO la ziwani hekari 30 linauzwa MWANZA nyanguge uelekeo ni barabara yakwenda musoma ni km 30 kutoka mwanza mjini hadi site,
SIFA ZA ENEO...
Wadau habari ya muda!?
Mwenzenu nimeweka bajeti ya laki NNE(400,000) kwa ajili ya simu ya aina ya android!!
Naombeni ushauri simu gani nzuri naweza ipata kwa hela hiyo!
Ni site nzuri inayofaa kwa biashara ya day care au dispensary au security guard, au hotel ina umeme na maji ndani ya fence karibu na barabara bei yake ni milioni moja kwa mwezi. ukiweza kufika...