Salaam JF,
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojinadi. Nahitaji sofa used lililo katika hali nzuri la kukaa watu wawili kwa maeneo ya Dsm, Lisiwe na kunguni Offer yangu elfu 50 tu, kama unalo...
Hi JF Members,
Nauza kiwanja changu kilichopo Kigamboni. Kiwanja kipo sehemu iitwayo Mwasonga, karibu na kituo cha daladala cha mwembe mdogo, jirani kabisa na ulipo mradi wa NSSF wa ECO Houses...
Shamba ni pori halijawahi kufyekwa, lipo bagamoyo, msata road kiwangwa kijiji cha Mwetemo. Shamba lina hati na pia lina ukubwa Wa ekari 24 na bei yake ni Tsh 12,000,0000. MAELEWANO YAPO. Kwa...
Kwa yeyote mwenye kuhitaji vitu tajwa hapo vinauzwa;
1. TV Lg inch 32 Led - ilikuwa haitumiki tangu iliponunuliwa bei 450,000 Tsh
2. Friji ndogo Elekta- Imetumika kidogo bei 300,000 Tsh
3. Home...
Mkurugenzi wa kampuni ya E.G.C. Honolulu Promotion and General Business,ndugu Gilson Nchangu,anatoa tahadhari kwa wananchi na jamii zima ya watanzania kuwa ,mashindano hayo yanamilikiwa na kampuni...
Kiwanja kilicho kwenye process za kupimwa,malipo ya awali tayari yamefanyika,kina ukubwa wa square metres 592,kipo mbezi msumi C....TZS 14M maongezi yapo...kina miembe 6...na ni tambalale,kipo...
Habari za jioni wadau,
Nina shida ya chumba cha kupanga.
Kiwe maeneo ya kinondoni mpaka magomeni dar es salaam.
Kiwe karibu na main road (kawawa road)
Kiwe na umeme, maji na gypsum,
Sitaki nyumba...
Habar wana JF
Wale wakazi wa Zanzibar Unguja Pemba nk...ambao wapo JF naomba kupata habar za soko la kuku wa kienyeji
Nikiwa katika matembezi yangu katika mkoa wa Tanga nimeona kuku wengi...