mzeesam
Member
- Aug 7, 2016
- 95
- 74
Habari za jioni wadau,
Nina shida ya chumba cha kupanga.
Kiwe maeneo ya kinondoni mpaka magomeni dar es salaam.
Kiwe karibu na main road (kawawa road)
Kiwe na umeme, maji na gypsum,
Sitaki nyumba yenye makelele sanaaaa
Bajeti yangu ni 50,000 kwa mwezi.
Ahsanteni [emoji53]
Nina shida ya chumba cha kupanga.
Kiwe maeneo ya kinondoni mpaka magomeni dar es salaam.
Kiwe karibu na main road (kawawa road)
Kiwe na umeme, maji na gypsum,
Sitaki nyumba yenye makelele sanaaaa
Bajeti yangu ni 50,000 kwa mwezi.
Ahsanteni [emoji53]