Kiwanja kinauzwa Tegeta ununio

Kiwanja kinauzwa Tegeta ununio

dovillenproperty

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2014
Posts
3,203
Reaction score
2,227
Kiwanja kipo tegeta ununio maeneo ya kilimo kwanza, kina ukubwa wa 800sqm

Kina hati na kiko kwenye mitaa mizuri
Bei 60m

Bei ina maongezi kidogo
Mawasiliana na kuja kuona

0756060183
 
Kiwanja cha 32 x 25 huwezi uza bei hio kijana
 
Kiwanja kipo tegeta ununio maeneo ya kilimo kwanza, kina ukubwa wa 800sqm

Kina hati na kiko kwenye mitaa mizuri
Bei 60m

Bei ina maongezi kidogo
Mawasiliana na kuja kuona

0756060183
Hiyo bei iko sawa sawa? Hebu iandike kwa maneno tafadhali
 
Mwingine jf humu anauza nyumba ya vyumba 4, sebule, dining, jiko, store, ina fensi na umeme na maji yapo ndani pale kitunda kwa 60m. Hapa tunaambiwa kiwanja (800m²) ununio 60m
 
Back
Top Bottom