Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

  • Sticky
Hallow wana JF, weka bei, picha, mahali ulipo, contact zako na specifications za device yako.
68 Reactions
17K Replies
2M Views
  • Sticky
Ndugu wadau wa Jukwaa la Matangazo Madogo, Tunafarijika kuona mnaendelea kutumia vizuri jukwaa hili katika kufanya biashara. Hata hivyo, kuna changamoto kwa baadhi ya wenzetu kushindwa...
44 Reactions
93 Replies
66K Views
  • Sticky
Weka tangazo,mahali ulipo bei ya tv na aina yake pamoja na namba ya simu karibuni. Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo; Elezea huduma/bidhaa unayouza kwa maelezo...
32 Reactions
7K Replies
1M Views
  • Sticky
Wakuu, Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena: Mnapoamua kufanya...
81 Reactions
461 Replies
136K Views
  • Sticky
Kumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu. Simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia...
68 Reactions
335 Replies
157K Views
  • Closed
  • Sticky
Hodi hodi jukwaani kwa Waungwana wana JF, Nitumaini kwa ukarimu wenu nyote mmesema karibu mgeni. Nami naingia na kuanza kutoa shukrani za dhati kwa Uongozi wa Jamii Media Inc kwanza...
7 Reactions
102 Replies
97K Views
ANGALIA PICHA ya gari yako unichek kwa hitaji la spea. WhatsApp 0712 148001. Pia nanunua magari chakavu . Ukiniunganisha nikanunua gari posho MLIMA. Pia nitakua natoa vocha mara moja moja...
15 Reactions
499 Replies
12K Views
Hello ! Uzi huu nitakuwa nikikupa updates za Magari used yalipo sokoni, yenye uzima na yanatumika kwa bei nafuu kabisa….kwa latest updates unaweza Subscribe uzi huu, ili kupata taarifa za gari...
18 Reactions
867 Replies
45K Views
Bei/Price🏷️👉🏾TSH 52M Call📞+255 747 999 927 TOYOTA HIACE SUPER GL Year: 2006 Engine: 2KD Mileage: 56,629KM Transmission: AUTOMATIC ✨Back Camera ✨Leather Seats ✨Alloy Sport Rims ✅100% Duty...
0 Reactions
0 Replies
9 Views
Habari,Natumaini mko salama na poleni na majukumu ya kila siku.Karibu ujipatie miche ya kisasa ya matunda. Tunapatikana Chuo kikuu cha kilimo (SUA) lakini tunatuma na mikoani kwa uaminifu...
44 Reactions
2K Replies
185K Views
Wakuu habari zenu Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema Nina uhitaji wa ile chuma ya kazi iliyotumika kwa sababu bajeti yangu haitoshi kununua mpya. Natafuta Senoray cc 300 used akiwa...
2 Reactions
34 Replies
937 Views
Habari wakuu, Anaeitaji nyumba/kiwanja/ chumba maeneo hayo kwajili ya kupanga, maeneo ya Afrikana, mbuyuni, Tegeta, Skanska, mji mpya kule chini zamani machimbo ya mawe kwasasa kumejengeka...
17 Reactions
167 Replies
14K Views
Mikoa ifuatayo Mwanza, Geita, Mara, Shinyanga au Simiyu. Natafuta gari ya kununua kwa kulipa kidogo kidogo hadi namaliza. Bei isizidi milioni 4
2 Reactions
39 Replies
5K Views
Nahitaji kununua godoro la 5×6×10 naomba kufahamu kampuni gani ina magodoro imara na bora? Budget yangu ni 280,000.
4 Reactions
29 Replies
19K Views
Habari, Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu, nahitaji kuuza account yangu ya instagram yenye followers 16.4k kwa kiask cha 200,000/= Tsh. Nahitaji msaada wa kujua namna gani nitaweza...
0 Reactions
2 Replies
157 Views
Ndugu zangu habari yenu, Ninahitaji msaada wa kampuni isiyo na longo longo ya kusafirisha parcels kutoka China, Lengo ni kununua bidhaa toka Pinduoduo. Nahitaji inayo kubali kusafirisha parcel...
0 Reactions
8 Replies
71 Views
Toyota Land Cruiser Amazon (EAQ) TZS 65M Year 2002 Engine 1HDT Diesel Automatic New Tyres Kimara - Dsm 0717 650800
4 Reactions
19 Replies
397 Views
Wakuu salamu, Ili mpango wako wa biashara (Business Plan) ukubalike na mabenki, taasisi za kifedha, au wawekezaji wakubwa kwenye mradi au biashara yoyote, hauwezi kusimama peke yake. Kuna nyaraka...
3 Reactions
4 Replies
199 Views
Je, una wazo la biashara au tayari una biashara inayofanya kazi lakini huna nyaraka rasmi za kuwasilisha benki kwa ajili ya mkopo au kwa wawekezaji? Tumezindua Templates za Kitaalamu...
0 Reactions
1 Replies
90 Views
Nauza Accessories za MacBook kama Keyboard Screen Battery Chargers Ssd Ram memory Softwares Pia tunafanya services & Repair Tupo ILALA - DSM 0767953873
0 Reactions
2 Replies
58 Views
Shamba linapatikana Kijiji cha Kwa Msangazi, Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga. Shamba lina rutuba ya kutosha halihitaji mbolea ya aina yoyote ile kwa kilimo cha mazao ya chakula na biashara...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Nahitaji Fiat tajwa hapo juu,mwenye nalo au kufaham mahali inapatikana tuwasiliane please
0 Reactions
3 Replies
698 Views
Kipo kibaha kwa mfipa sehemu inaitwa galagaza, Kinauzwa 5.5M hii ni bei iliyonunuliwa cash Anayehitaji aje pm au anitafute kwa hizi namba
0 Reactions
6 Replies
55 Views
Bei/Price TSH 21M Call +255 747 999 927 TOYOTA RUMION Year: 2008 Engine: 1490Cc Mileage: 42,000+ Transmission: AUTO Fog Lights Sport Rims Push To Start 100% Duty Paid Free Registration Swap...
1 Reactions
1 Replies
242 Views
Nauza FACEBOOK PAGE Ina followers 46k na Inapokea malipo (monetization). Njoo 0717743549 njoo tuongee bei.
0 Reactions
0 Replies
23 Views
Kwa mwenye uhitaji wa kutafsiriwa video au kitabu au makala kutoka lugha ya kingereza kwenda kiswahili, whatsap/sms/piga 0756704145
1 Reactions
1 Replies
15 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…