Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

  • Sticky
Hallow wana JF, weka bei, picha, mahali ulipo, contact zako na specifications za device yako.
68 Reactions
17K Replies
2M Views
  • Sticky
Ndugu wadau wa Jukwaa la Matangazo Madogo, Tunafarijika kuona mnaendelea kutumia vizuri jukwaa hili katika kufanya biashara. Hata hivyo, kuna changamoto kwa baadhi ya wenzetu kushindwa...
44 Reactions
93 Replies
66K Views
  • Sticky
Weka tangazo,mahali ulipo bei ya tv na aina yake pamoja na namba ya simu karibuni. Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo; Elezea huduma/bidhaa unayouza kwa maelezo...
32 Reactions
7K Replies
1M Views
  • Sticky
Wakuu, Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena: Mnapoamua kufanya...
81 Reactions
461 Replies
136K Views
  • Sticky
Kumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu. Simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia...
68 Reactions
335 Replies
157K Views
  • Closed
  • Sticky
Hodi hodi jukwaani kwa Waungwana wana JF, Nitumaini kwa ukarimu wenu nyote mmesema karibu mgeni. Nami naingia na kuanza kutoa shukrani za dhati kwa Uongozi wa Jamii Media Inc kwanza...
7 Reactions
102 Replies
97K Views
Toyota Land Cruiser Amazon (EAQ) TZS 65M Year 2002 Engine 1HDT Diesel Automatic New Tyres Kimara - Dsm 0717 650800
5 Reactions
20 Replies
422 Views
Wakuu salamu, Ili mpango wako wa biashara (Business Plan) ukubalike na mabenki, taasisi za kifedha, au wawekezaji wakubwa kwenye mradi au biashara yoyote, hauwezi kusimama peke yake. Kuna nyaraka...
3 Reactions
6 Replies
222 Views
Habari,Natumaini mko salama na poleni na majukumu ya kila siku.Karibu ujipatie miche ya kisasa ya matunda. Tunapatikana Chuo kikuu cha kilimo (SUA) lakini tunatuma na mikoani kwa uaminifu...
44 Reactions
2K Replies
185K Views
Mikoa ifuatayo Mwanza, Geita, Mara, Shinyanga au Simiyu. Natafuta gari ya kununua kwa kulipa kidogo kidogo hadi namaliza. Bei isizidi milioni 4
2 Reactions
40 Replies
5K Views
The Lenovo Yoga Air 14s is an ultra-lightweight, premium thin-and-light laptop featuring a stunning 14.5-inch 2.9K OLED touchscreen, robust Qualcomm Snapdragon processors, and up to 32GB RAM...
1 Reactions
6 Replies
153 Views
Bei/Price🏷️👉🏾TSH 180M Call📞+255 747 999 927 TOYOTA FORTUNER Year: 2024 Engine: 2GD-FTV Mileage: 28,411KM Fuel Used⛽: DIESEL Transmission: AUTOMATIC ✨Fog Lights ✨Sport Rims ✨Push To Start...
0 Reactions
0 Replies
28 Views
Bei/Price🏷️👉🏾TSH 52M Call📞+255 747 999 927 TOYOTA HIACE SUPER GL Year: 2006 Engine: 2KD Mileage: 56,629KM Transmission: AUTOMATIC ✨Back Camera ✨Leather Seats ✨Alloy Sport Rims ✅100% Duty...
0 Reactions
2 Replies
46 Views
Empty containers 20ft &40ft are available. 20ft price, 3.8MTsh Condition : Cargo Worth (negotiable) 40ft price , 6.4MTsh Condition, Cargo worth (Negotiable) Get yours now . Location...
1 Reactions
431 Replies
2K Views
Ewe mhitimu wa kodi hii ni nafasi njema kwako; (i). Unapenda kupata uzoefu ili uanze kutengeneza pesa kwa kutatua matatizo ya wafanya biashara na makampuni mbalimbali. (ii). Unahitaji kupata...
1 Reactions
5 Replies
64 Views
Plot For Sale. Location: Kigamboni Gezaulole, near Gezaulole Dispensary/Ibn Rushdy school. 2nd row from beach, 100m away from Indian ocean. Size: SQM 911. Price: Tsh 250 Million. Document: Clean...
1 Reactions
1 Replies
19 Views
We are pleased to introduce The Hills Nungwi by Majestic Luxury Suites, a premium residential development located just 50 meters from the beach in Nungwi, Zanzibar. Pricing: • One-bedroom...
1 Reactions
2 Replies
59 Views
Meno bandia ya Kauri Porcelain Fused to Metal (PFM) ni meno ya kutengenezwa ambayo yana msingi wa chuma (metal) ndani na kufunikwa kwa kauri ya porcelain nje. Hutumika kurejesha jino...
1 Reactions
0 Replies
20 Views
Naomba kama kuna mtu anauza tv kwa 150k anicheki. Habari za inchi tutaongea pm. Asante
0 Reactions
0 Replies
11 Views
Hello ! Uzi huu nitakuwa nikikupa updates za Magari used yalipo sokoni, yenye uzima na yanatumika kwa bei nafuu kabisa….kwa latest updates unaweza Subscribe uzi huu, ili kupata taarifa za gari...
18 Reactions
868 Replies
45K Views
ANGALIA PICHA ya gari yako unichek kwa hitaji la spea. WhatsApp 0712 148001. Pia nanunua magari chakavu . Ukiniunganisha nikanunua gari posho MLIMA. Pia nitakua natoa vocha mara moja moja...
15 Reactions
499 Replies
12K Views
Wakuu habari zenu Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema Nina uhitaji wa ile chuma ya kazi iliyotumika kwa sababu bajeti yangu haitoshi kununua mpya. Natafuta Senoray cc 300 used akiwa...
2 Reactions
34 Replies
945 Views
Habari wakuu, Anaeitaji nyumba/kiwanja/ chumba maeneo hayo kwajili ya kupanga, maeneo ya Afrikana, mbuyuni, Tegeta, Skanska, mji mpya kule chini zamani machimbo ya mawe kwasasa kumejengeka...
17 Reactions
167 Replies
14K Views
Nahitaji kununua godoro la 5×6×10 naomba kufahamu kampuni gani ina magodoro imara na bora? Budget yangu ni 280,000.
4 Reactions
29 Replies
19K Views
Habari, Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu, nahitaji kuuza account yangu ya instagram yenye followers 16.4k kwa kiask cha 200,000/= Tsh. Nahitaji msaada wa kujua namna gani nitaweza...
0 Reactions
2 Replies
159 Views
Ndugu zangu habari yenu, Ninahitaji msaada wa kampuni isiyo na longo longo ya kusafirisha parcels kutoka China, Lengo ni kununua bidhaa toka Pinduoduo. Nahitaji inayo kubali kusafirisha parcel...
0 Reactions
8 Replies
73 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…