Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,193
- 21,335
Habari wakuu
Maisha kwa sasa yanaenda kasi sana, Sisi vijana katika harakati za kutafuta pesa tunakutana na changamoto nyingi sana ,sasa kuna hii njia inaitwa "kupiga hela online ,ukiwa na simu yako na bando " Mimi nimeshafanya uchunguzi sana online businesses wanazosema ni zipi hizo au ni hizi ...
Cryptocurrency (sarafu za kidigitali)..
Forex ..
Betting ..
Nyingine ni network marketing ,huku utakutana na website zinatokea na kucollapse watu wanapigwa hela ,ila kutwa status kupost eti wanapiga hela eg ,pamafund ,smarthela ,global alliance ,qnet ,forever living ....
Kuna mengine mengi yanaibuka na kutoweka kwa kweli mpaka nabaki mdomo wazi na watu wanaweka hela huko ,wanapigwa ,ila ni full kujipa moyo et wanapiga hela ,wanasema wanapiga hela wakiwa wamelala kitandani ....
Hawa watu wa online wanawaona wauza mihogo ,machinga ,wauza migahawa ,wauza matunda ,chips ,washona viatu ,wapiga debe ,....hao wote wanawaona kama hawana akili ya kutafuta hela ,ila wao ndio wanajua hahaaaaaa....
Kusema kweli kama online business watu wanazosema ndio hizo hapo juu ,sina budi kusema kuwa ,watu wanaofanya hayo mavitu ni wavivu wa kufikili na "HAWATAKUJA KUFANIKIWA MPAKA MWISHO WA DUNIA"...
Yaani wanapigwa pesa mpaka akili ziwakae sawa, ..
Hakuna pesa za bure online, Fanya kazi kwa bidii, jitume, ndio njia ya kupata pesa ..
Forex ingekuwa biashara, serikali ingechukua $100,000 ikawaintrade na kutengeneza pesa ,...
Sarafu za kidigital zingekuwaa deal, hakuna tajiri ambaye angepoteza pesa kufungua kiwanda ,kulipa wafanya kazi, kodi, aridhi, na mabilion ya pesa wakati angeweza kununua hizo sarafu ..
Mh Raisi naamini atashauriwa vizur kuhusu hizo sarafu ..
Vijana tokeni nje, mkafanye kazi, ardhi ipo, mashamba yapo, mbegu zipo, hizo smart phone zinawadanganya, hakuna pesa utaingiza umelala kitandani ....
Uzi tayari
Maisha kwa sasa yanaenda kasi sana, Sisi vijana katika harakati za kutafuta pesa tunakutana na changamoto nyingi sana ,sasa kuna hii njia inaitwa "kupiga hela online ,ukiwa na simu yako na bando " Mimi nimeshafanya uchunguzi sana online businesses wanazosema ni zipi hizo au ni hizi ...
Cryptocurrency (sarafu za kidigitali)..
Forex ..
Betting ..
Nyingine ni network marketing ,huku utakutana na website zinatokea na kucollapse watu wanapigwa hela ,ila kutwa status kupost eti wanapiga hela eg ,pamafund ,smarthela ,global alliance ,qnet ,forever living ....
Kuna mengine mengi yanaibuka na kutoweka kwa kweli mpaka nabaki mdomo wazi na watu wanaweka hela huko ,wanapigwa ,ila ni full kujipa moyo et wanapiga hela ,wanasema wanapiga hela wakiwa wamelala kitandani ....
Hawa watu wa online wanawaona wauza mihogo ,machinga ,wauza migahawa ,wauza matunda ,chips ,washona viatu ,wapiga debe ,....hao wote wanawaona kama hawana akili ya kutafuta hela ,ila wao ndio wanajua hahaaaaaa....
Kusema kweli kama online business watu wanazosema ndio hizo hapo juu ,sina budi kusema kuwa ,watu wanaofanya hayo mavitu ni wavivu wa kufikili na "HAWATAKUJA KUFANIKIWA MPAKA MWISHO WA DUNIA"...
Yaani wanapigwa pesa mpaka akili ziwakae sawa, ..
Hakuna pesa za bure online, Fanya kazi kwa bidii, jitume, ndio njia ya kupata pesa ..
Forex ingekuwa biashara, serikali ingechukua $100,000 ikawaintrade na kutengeneza pesa ,...
Sarafu za kidigital zingekuwaa deal, hakuna tajiri ambaye angepoteza pesa kufungua kiwanda ,kulipa wafanya kazi, kodi, aridhi, na mabilion ya pesa wakati angeweza kununua hizo sarafu ..
Mh Raisi naamini atashauriwa vizur kuhusu hizo sarafu ..
Vijana tokeni nje, mkafanye kazi, ardhi ipo, mashamba yapo, mbegu zipo, hizo smart phone zinawadanganya, hakuna pesa utaingiza umelala kitandani ....
Uzi tayari