Papaa Misifa.Main act ni Diamond Platnumz.View attachment 1278757Iumeenda kwenye fiesta ya sierra lione now unasema show ilikuwa ya peke yako ?
This year's headline act is Diamond Platnumz from Tanzania.Hii sentensi ina maana sana.
Nashukuru kwa kuona hili. Mwingine yuko Tabora na viingilio vya biaThis year's headline act is Diamond Platnumz from Tanzania.Hii sentensi ina maana sana.
Acaha kuweka akili matakoni DIAMOND BABA LAOView attachment 1278757
Umeenda kwenye fiesta ya Sierra Leone now unasema show ilikuwa ya peke yako?
Kwan hapo jamaa kaitamka?Imeandikwa wapi hiyo?
View attachment 1278757
Umeenda kwenye fiesta ya Sierra Leone now unasema show ilikuwa ya peke yako?
Anakuza uchumi wetu siyo?Mungu ambaliki kijana huyu anaepeperusha bendela ya nchi yetu
Papaa Misifa.Main act ni Diamond Platnumz.
Next week tena ktk stadium nyingine ktk nchi ya Gunea ,Diamond Platnumz as main act.
View attachment 1278780
Sibishani na ww,bishana na hiyo hapoKiingilio 850 Tsh
Ukibisha kaangalie thamani ya pesa yao