Mbona Diamond amekonda na kupoteza nuru kwa haraka hivi?

aka2030

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
2,630
3,579
824378A0-8A2F-4C86-B3CC-0C45BEDA5BB5.png
AE0D19C4-0517-4FC6-B2C2-BC2388407483.png
D53F6612-4141-4A54-8F48-F5C72CE39E40.png
E01CFF9B-9298-4631-B16D-0C33C9E5244E.png
 
Inategemea umemuona akiwa wapi, instagram isiwapoteze sana....pia picha za kushtukizwa si sawa na zile zenye maandalizi.
 
Halo makeup hana. Mambo ya mapoda na foundation sana miss hapa. Kwani ni lini Diamond alinenepa? Yuko hivyo siku zote sema kinachokosekana ni mapoda tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom