CLEVER SQUIRREL
Senior Member
- Feb 20, 2019
- 121
- 117
Eee bana Mabanker mpo? Aisee usawa wetu umekaa vibaya sana.
Naomba tushee mawazo,vikwazo na experiences mbali mbali zilizopo ofisini kwetu na field.
Kama kwangu wateja wetu wanafilisika sana, yani mtu kapewa loan ya 300m, rejesho la pili hoi!
Naomba tushee mawazo,vikwazo na experiences mbali mbali zilizopo ofisini kwetu na field.
Kama kwangu wateja wetu wanafilisika sana, yani mtu kapewa loan ya 300m, rejesho la pili hoi!