Pozzers
JF-Expert Member
- Sep 14, 2013
- 336
- 560
Maduka ya kubadilisha fedha za kigeni Arusha karibu yote yako chini ya ulinzi wa wanajeshi wakiwa na mitutu kwa kile kinachoitwa operation.
Its truly happening in Arusha.
--------
Ulinzi mkali umeimarishwa kwenye maduka karibu yote yanayohusika na biashara ya kubadilisha fedha(Forex)
Yadaiwa kuna oparesheni maalum inayoendelea ambayo hadi sasa haijafahamika inahusu nini
Aidha, wanaotaka kubadili fedha watakiwa kwenda kupata huduma hiyo Benki Kuu
UPDATES;
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT)Profesa Luoga amethibitisha kuwa oparesheni ya kufanya ukaguzi katika baadhi ya maduka ya kubadilishia fedha jijini Arusha iliendeshwa na Benki yake kwa kushirikisha vyombo mbalimbali vya dola ili kubaini watuhumiwa wa uhalifu wa kutakatisha fedha.
Habari zaidi, soma=>Benki Kuu(BoT) yasitisha leseni za maduka ya kubadilishia fedha za kigeni Tanzania - JamiiForums
Its truly happening in Arusha.
--------
Ulinzi mkali umeimarishwa kwenye maduka karibu yote yanayohusika na biashara ya kubadilisha fedha(Forex)
Yadaiwa kuna oparesheni maalum inayoendelea ambayo hadi sasa haijafahamika inahusu nini
Aidha, wanaotaka kubadili fedha watakiwa kwenda kupata huduma hiyo Benki Kuu
UPDATES;
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT)Profesa Luoga amethibitisha kuwa oparesheni ya kufanya ukaguzi katika baadhi ya maduka ya kubadilishia fedha jijini Arusha iliendeshwa na Benki yake kwa kushirikisha vyombo mbalimbali vya dola ili kubaini watuhumiwa wa uhalifu wa kutakatisha fedha.
Habari zaidi, soma=>Benki Kuu(BoT) yasitisha leseni za maduka ya kubadilishia fedha za kigeni Tanzania - JamiiForums