Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,745
- 5,446
Changamoto ya Dar ni kupiga mixture. Kama hao jamaa wanatoa mchele usiochanganywa, watakuwa supa.mbeya 1800 mbna huku Dar wanauza hivyo hivyo
Vv
Changamoto ya Dar ni kupiga mixture. Kama hao jamaa wanatoa mchele usiochanganywa, watakuwa supa.mbeya 1800 mbna huku Dar wanauza hivyo hivyo
Hapa Dar mna duka wapi?
Nashukuru mkuu, naamini utakuwa mtamu Kama unavyonekana kwa macho...Niliagiza mchele na kutuma pesa, Nashukuru nimepokea kilo 20 pale ubungo ofisi ya AL saidy
Asante mdau nasubiri waupike nione ubora wake