Ndugu zangu napenda kujitambulisha. Naitwa Muberwa ninaishi Dar es Salaam. Nimefurahi sana kujiunga nanyi katika mtandao huu. Nawatakia majadiliano mema na siku njema.
salamu nyingi ziwafikie...
Hello to All,
my name is Jozen-Bo. I am happy to be here and see such an active place as this one. I was seeking a technology forums and this popped up in the Google hits. I am interested in...
Hodi wanajamii! 👋
Naitwa Oscar Ndayi 🇧🇮, Mrundi kwa asili lakini kwa sasa nipo nchini Indonesia 🇮🇩 kusoma (Doctoral Student) katika Programu ya Tathmini ya Miradi (Program Evaluation), Chuo Kikuu...
Waungwana!
Hapa ni mahala ambapo waungwana hukutana kwa lengo la kujadiliana,kuelimishana,
kuonyana,kukosoana,
kupongezana,kupeana ushauri na kubadilishana uzoefu katika mambo mbalimbali kwa njia...
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa TANGANYIKA na Zanzibar.
Mgeni mimi, hii nchi naipenda sana😥.
Natafuta Mchumba aambatane nami katika haya Mapenzi.
Ahsanteni kwa uwepo wenu.