Hello to All,
my name is Jozen-Bo. I am happy to be here and see such an active place as this one. I was seeking a technology forums and this popped up in the Google hits. I am interested in...
Hodi wanajamii! 👋
Naitwa Oscar Ndayi 🇧🇮, Mrundi kwa asili lakini kwa sasa nipo nchini Indonesia 🇮🇩 kusoma (Doctoral Student) katika Programu ya Tathmini ya Miradi (Program Evaluation), Chuo Kikuu...
Waungwana!
Hapa ni mahala ambapo waungwana hukutana kwa lengo la kujadiliana,kuelimishana,
kuonyana,kukosoana,
kupongezana,kupeana ushauri na kubadilishana uzoefu katika mambo mbalimbali kwa njia...
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa TANGANYIKA na Zanzibar.
Mgeni mimi, hii nchi naipenda sana😥.
Natafuta Mchumba aambatane nami katika haya Mapenzi.
Ahsanteni kwa uwepo wenu.
Habari za wakati huu wadau,
Kiredio amekuwa mfuatiliaji wa forum hii kaa kipindi kirefu na sasa nimeamua kujiunga rasmi.
Naamini JF ina watu smart na wenye upeo mkubwa wa kuchangia na hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.