Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Naitwa O_2 napatikana Lushoto. Hodii hodiiii
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Nawasalimu ndugu zangu kwa jina la amani. Naomba mnikaribishe humu nami nipate kushiriki nanyi masuala mbalimbali Imetumwa kupitia Tecno Camon Cx
1 Reactions
4 Replies
672 Views
Habar wanajamvi Mimi ni mgeni humu ndani wakubwa shikamooni wadogo marahaba napo kosea nikosoeni napo patia mnitie moyo zaid asanten saaana Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
953 Views
Mimi ni mgeni wa Jamiiforum, nilijiunga wiki chache zilizopita lakini sikupata muda wa kuanza kuzungumza na wahusika humu. Naomba nikaribishwe nikiamini itifaki imezingatiwa. Umri wangu miaka 25...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wakuu, nimekua mpenzi msomaji mzuri wa jamiiforums leo nimeamu nijiunge rasmi naomba mnikaribishe
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Hello members, mimi ni mgeni humu ndani naombeni mnipokee It has been take long time to inter here but i thanks that i have been registered People who i admire #Mshana Jr #Joverest...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Natumaini hamjambo wadau wote na wazoefu wa jukwaa hili, Ninaitwa Mniko The Poet, mwandishi wa digital ebooks kuhusu mashairi na stories. Ninaandika mashairi kuhusu jambo lolote ambalo mtu...
3 Reactions
24 Replies
4K Views
Nimejiunga na jamii forums mtandao wa ukweli Tanzania, nashindwa kukomenti post yoyote kwani sehemu ya kukomenti haipo kabsa, tatizo ni nini? Msaada jamani
0 Reactions
7 Replies
990 Views
Jamani habar zenu? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
798 Views
Am so happy to join JF Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
5 Replies
880 Views
Jamani kwema hapa jf Nimekuja naomba mnipokee tu kama kuna maelekezo naomba mnipatie mapema nisije nikakurupukia vitu sivijui Basi nipo mlangoni hapa nasubiri nipokelewe
1 Reactions
52 Replies
3K Views
Habarini wandugu......nina furaha sana leo nimejiunga jamii forums.Lakini naomba msaada wenu wa kujua wapi ntapata maelezo ya jinsi ya kuchangia mada mbalimbali kwa watu waliotoa hoja zao.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
wana jf hamjamboni?ni member mpya nimetokea kijiji cha vibamba Tanga. kwa sasa niko Arusha kikazi.tena nawaombeni mnisaidie kupata mke mzuri mwenye maadili.umri wangu 27 yrs.nimeajiriwa kwenye...
0 Reactions
8 Replies
840 Views
Baada ya kuwa nje ya jukwaa hili ila nikiwa mfuatiliaji wa mijadala mbalimbali kutoka kwa wachangiaji mbalimbali, hatimaye leo nimeamua kwa dhati yangu bila kushurutishwa na yeyote na nikiwa na...
1 Reactions
63 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu, Nimeingia rasmi humu ndani,hope ntapata mengi ya kujifunza.
0 Reactions
28 Replies
2K Views
jamani mie mgeni katka forum hii kuna muda niliwahi kujiunga ila kasimu kangu kaka haribika, Sasa nimerudi ila sijui vitu vingi saana humu, ningependa kupata maneno mhimu yanayotumika humu pia na...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Mambo zenu wadau...nmekuwa msomaj mzur wa jf kwa kipindi kirefu!! Naomba kukaribishwaaa Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
44 Replies
3K Views
Naomba ukarimu wenu...!
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Hellow guys.!!! Mimi ni mgeni humu japo nilikuwa huku kama Guest, Nimejiunga Rasmi Leo. Naombeni mnipokee. Asanten
8 Reactions
100 Replies
6K Views
Hallow! I'm here again Sammy ngulinzira
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom