Mod thread yangu mumeipeleka jukwaa ambalo sina privileged nalo. Thread yangu haiko kichochezi iko simple tu kwa ajili ya maswali kuhusu Mungu. Nawaomba nasi mnirudishie ina ujumbe kwa maswali ya...
Wakuu habari zenu, Mie wakuja hapa ndani kutokea huku panapojuliaka kama mikoani, napenda na kukithamini Kiswahili... Nilikuwa mwenyeji Lakini nimeamua kuwa mwenyeji zaidi. Ushirikiano wenu
Habari zenu wakuu,Ni muda mrefu nimekuwa nikifuatilia Mijadala mbalimbali humu Jf na ikanivutia kuwa member mmojawapo..Natumai mtanipa support yenu ya kutosha pale ambapo nitakuwa...
Kwa wale wanajukwaa pendwa la international forum, Jamii Intelligence na chumbani account yangu imesumbua nasubiria msaada wa moderators kuirudisha but wakishindwa kunirudishia nitakuwa kwenye hii...
naomben msaada tafadhal wana jamvi maelekezo machache namna ya kumfollow mtu namna ya kuedit jina dp namna ya kuchat direct na mtu na mengineyo please.Thanks
Za Joni wakubwa!!!!
Honestly Hakuna kitu nliyotaman kwa MDA mrefu kujiunga kama JF..... nilikuwa mnazi wa kusoma threads mbalimbali za humu nkiwa non-member..... But now I'm an official member...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.