Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Before beginning presenting on what has been bothering me for along long time,I would love to greet you all and also inform you that i will be using using swanglish to communicate.If you have a...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
naenda moja kwa moja kwenye point... hivi kama wanaume tumefikia mahala kuvaa suruali/jeans za kubana hadi ifikie.. 1 -kuipandisha hadi kiunoni si chini ya dk 5 na kuchomekea vest na shati dk 5 2...
9 Reactions
75 Replies
15K Views
Wataalamu naomba tupatiane Maarifa Je ni mafuta gani ni mazuri kwa kusinga (massage) Nataka kuyafahamu
4 Reactions
38 Replies
19K Views
Salaaaaam Waungwana ni mafuta gani mazuri na yanayofaa kwa mtoto?
0 Reactions
19 Replies
24K Views
Wewe na girlfriend wako wote ni wanafunzi alafu unambiguous mzinga wa laki mbili binti wa watu inategemea atazitoa wapi? Ukisikia kuna jibaba la TRA linaghramia eti unamwita malaya hii ni sawa...
9 Reactions
76 Replies
8K Views
Wakuu nadhani mko poa,kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nimekuwa mtanashati mno hadi naonekana kero kwa watu wangu wa karibu nini nifanye ili nijiepushe na hali hii ??? Kama ujanipata hebu...
4 Reactions
146 Replies
14K Views
N kwel haya mafuta haya chubui kwa anae yajua au anae tumia
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Leo ningependa nitoe shukurani zangu kwa Rais wetu JPM kwa kuongeza idadi ya wanawake wenye vipara au wenye nywele za kunyoa. Ki uhalisia wanawake wenye vipara wameongezeka kwa kasi tofaut na...
1 Reactions
20 Replies
15K Views
Habari ndugu zangu, Naamini mko salama na bado mnaendelea kupigana na maisha ya sasa na hata kwa baadaye. Kama kichwa cha habari kinavyo sema kuhusu majadiliano kwa pamoja kila mwenye wazo...
0 Reactions
52 Replies
13K Views
Eee wakuu hili ni tatizo au maana fasta zishafika juu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
2K Views
[emoji1]
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Unakuta pochi ya mama au mdada kwa nje ni nzurii na ni ya bei ila huko ndani ni majanga. Mafoundation yamemwagika huko ,malipstick marangi. Mwingine aliweka msosi kwnye sherehe kikamwagika huko...
4 Reactions
40 Replies
4K Views
Ukiwa mwanaume au mwanamke upigaji sopusopu ni jambo la busara sana ili kukuweka mtanashati na mwenyekuvutia muda wote kwa kuondoa uchafu na pia kuondoa mafuta ambayo yana kawaida ya kutanda...
2 Reactions
4 Replies
26K Views
Habarini waungwana Naomba kuelekezwa jinsi ya kutengeneza shampoo malighafi zinazohitajika na gharama yake.
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Kumekua na tabia ya wamama wengi wanaokaribia kujifungua kupiga picha za nusu utupu zikionyesha ukubwa wa tumbo /mimba. Hii trend ya picha hizi niwahi kuziona mara ya kwanza kwa mastaa wa nje...
1 Reactions
172 Replies
40K Views
Asalaam Tuambizane uvaaji wa nguo kulingana na mazingira husika kama kwenye sherehe,ofisini,unatoka out na babe,kanisani uvaeje,safarini,safari fupi lets say umeenda shoping ukiwa home uvae vipi...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Hii fashion imeingia dar sasa hususan wilaya ya kinondoni na maeneo flani ya ushuani.
2 Reactions
68 Replies
15K Views
Asalaam Wapendwa nifanyeje au nitumie nini kisicho na madhara ili nirefushe kope zangu?
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Hizi fashion za siku hizi unaweza sema machizi wanapelekwa milembe kupata tiba.
2 Reactions
32 Replies
6K Views
Ivi in kweli bia inaondoa dawa ya nywele? Au nifanye nini kuondoa dawa katika nywele zangu?
2 Reactions
43 Replies
29K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…