Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Kama tunavyojua uwanaume ni ishara ya ukakamavu, unguvu na ujasiri. Sasa kwanini unashindwa kwenda bafuni kuoga kisa tu kuna baridi je wewe ni binti? Mimi Ninavyojua mabinti wa miaka 8-15 ndio...
4 Reactions
9 Replies
593 Views
Kama mnavyojua leo weekend nimetoka kuoga ndio najiandaa kwenda location. Nimeona sio mbaya wanaume tukapeana tips mbalimbali za usafi. Msimu wa baridi ndo huu na mafuta/losheni ni muhimu kupaka...
23 Reactions
91 Replies
4K Views
Wanawake hoyeeeee, Wanawake juuu! Tupeni siri ya sketi za penseli jamani, yaani mimi huwa napenda sana mwanamke akivaa sketi ya penseli. Sijui kwanini. Kipindi hicho wakati nilipokuwa mdogo ndio...
14 Reactions
91 Replies
5K Views
Hizi Body Splash zinapendwa sana na watu wa vipato vya kawaida ambao ndio wengi, changamoto ni kwamba zimepanda bei na hii ni kwasababu ya demand kuwa kubwa. Je muuzaji mkubwa wa hizi Body Splash...
1 Reactions
2 Replies
408 Views
Mimi ni mfanya biashara katika upande wa mavazi kufanya design nzuri yenye muonekano mzuri na wa kipekee katika mjumuisho wa art culture na kwa mzingatio wa muone kano mzuri na wa kitofauti
0 Reactions
3 Replies
317 Views
Wakuu Sote tunajua wazi sisi wanaume si wa mambo mengi. Ni rahisi sana kumkuta mwanaume ana suruali mbili na mashati matatu na hawazi wala kuongelea mavazi na ameridhika nayo wala hajari. Ni...
3 Reactions
31 Replies
1K Views
Maisha yanapata maana mpaka pale utakapoanza kujali usafi wa mazingira yako, mwili, nguo na mavazi Inasikitisha kuona usafi ni kwa ajili ya watu matajiri halafu uchafu ndo unaonekana ni asili...
3 Reactions
1 Replies
416 Views
Rais wa Marekani Donald Trump amezindua rasmi manukato mapya ya kifahari kwa wanaume na wanawake. Trump amezindua manukato hayo kupitia mtandao wake wa kijamii wa Truth Social na yamepewa jina la...
0 Reactions
15 Replies
690 Views
Wakuu Nahitaji mafuta mazuri ya nywele ambayo yanaweza kukuza walau ndani ya miezi sita nywele niweze kubana,,.Kwa anayefahamu , anayeuza, au aliyewahi kuyatumia naombeni mnitajie majina na hata...
14 Reactions
236 Replies
9K Views
Naomba mnisaidie hapa wapo ambao hupenda mwanaume anukie kiasi kwamba akiwa mbali unaeeza msikia ma akipita lazima ikae kwa muda mrefu ile harufu na wapo wanaoenda mwanaume anukiee kidogo yaani...
7 Reactions
642 Replies
170K Views
Yeyote anayejua aina nzuri ya perfune yenye manukato yasiyokera mbele za watu isiwe zaidi ya 15,000 nahitaji kununua hata kama ina ujazo mdogo. Jinsia yangu ni mme Ahsanteni
9 Reactions
242 Replies
81K Views
Perfume gani za bei hizo za 'mtanzania' ambazo walau ni standard na bei wanayoimudu wengi?
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Hello,. Mwanaume umevaa mkanda nje umechomekea shirt nzuri suruali nzuri mkanda mweusi kiatu brown.....big no,mkanda mweusi kiatu cheusi....mkanda brown kiatu brown...... -Ukajivalia suruali...
13 Reactions
37 Replies
4K Views
Suala la kuvaa kipindi kwa pwani ni suala la kawaida na urembo, Pwani, Tanga ni jambo la kawaida. Tatizo watu wa bara wana mtazamo finyu wa utofauti wa jamii, mtu ametoa huko anakuja anakuta watu...
4 Reactions
63 Replies
6K Views
Katika ulimwengu wa leo, mitindo ya mavazi imegeuka kuwa uwanja wa mashindano ya kuonyesha miili badala ya kuonyesha heshima, adabu, na utu wa mwanamke. Kinachosikitisha ni kwamba hata wanawake...
0 Reactions
3 Replies
668 Views
Changamoto ya harufu nzito ya uvundo wa jasho kwenye nywele huwa kero na usumbufu kwa wasio husika. Kwa wazoefu, ni katika muda gani yafaa nywele kuoshwa, kusukwa tena bila kufumua na kuficha kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mwenye kufahamu wapi naweza pata hizi perfume za kiarabu. Nimezitafuta sana bila mafanikio kuna duka walikuwa wanauza mtaa wa jangwani halipo tena siku hizi. 1. Al Rehab Avenue 2. Al Rehab Silver...
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Habari ndugu jamaa na marafiki. Kama vile kichwa cha barua kilivyo. Naomba kujuzwa ni mafuta gani ya kupaka ambayo harufu yake ni nzuri na yana bei nzuri isiyozidi elfu kumi na tano ambayo...
7 Reactions
103 Replies
29K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…