Hivi fundi aliyewashonea zile suti alikua hana futi kamba? Au alipoteza vipimo?Mbona amewashonea vijana wa taifa suti ngoko zote nje..na kwanini hawa vijana wengine hawajanunuliwa soksi. Ni ajabu...
Habari wana JF.
Naomba msaada wapi au kiwanda kipi naweza enda wakanisaidia kunitengenezea sabuni na lotion za alovera.
Nahitaji sabuni na lotion zenye kiwango kikubwa cha alovera not less than...
Wananzengo salama?
Nahitaji dawa ya kuongeza ndevu pamoja na mvi za kichwani na kwenye ndevu
Nina mvi chache kwenye ndevu na nyingine kichwani so nahitaji ndevu zote ziwe nyweupe na kichwani pia...
Habarini za leo marafiki.
Ndugu zangu mwenzangu anatatizo la kuwasha nywele kichwani baada ya kusuka.
Anaondoaje tatizo la kuwasha nywele kichwani baada ya kusuka
Habarini za leo marafiki.
Ndugu zangu mwenzangu ana tatizo la kuwasha nywele kichwani baada ya kusuka.
Anaondoaje tatizo la kuwasha nywele kichwani baada ya kusuka.
Bila Shaka mu wazima, naomba kuuliza anayeifahamu keto made by China, aniambie, inapopatikana tafadhali.
Ni cream kwa ajili ya uso, huondoa dead skin na kukupa ngozi lain nyororo, haichubui...
Yeyote anayejua aina nzuri ya perfune yenye manukato yasiyokera mbele za watu isiwe zaidi ya 15,000 nahitaji kununua hata kama ina ujazo mdogo.
Jinsia yangu ni mme
Ahsanteni
Habari za mihangaiko ya siku nzima wakuu Hoja yangu haina umuhimu Sana lakini nahitaji msaada.
Kwanza napenda kuwashukuru sana kwa kupoteza muda wenu na kuchangia mada yangu.
Leo ndio siku ya...
Ua zuri lenye harufu ya kuvutia mi nalifahamu kwa jina la KILUA, haya maua nayaona sana maeneo ya pwani ebu wanayoyafahamu wanieleweshe zaidi kuhusu huu mti unaotoa haya maua.
Nahitaji kujua pafyumu zingine zinazoizidi ubora na uromantic wa hii kuruthumu.
Binafsi siifahamu sijawahi kutumia naomba uzoefu toka kwenu wazee wa baraza.
Baada ya kutumia muda mwingi kutafiti [kigooglegoole] masuala ya nywele na upara na mambo yanayohusiana na hayo, basi leo nimehamishia udadisi wangu JF.
Katika kupitiapitia baadhi ya nyuzi...
There is a popular saying which goes thus; "dress the way you want to be addressed" as the way one is dressed, speaks about someone. In this era, time and age where decency has become a scarce...
Wadau,
Hii nimeishuhudia sana Arusha hasa sehemu za Tengeru kwenda mbele. Utakuta mama kaualamba vizuri kweli mfano gauni zuri, au dila, su sketi ndefu nzuri au suruali pana ya heshima.
Utakuta...
Heshima wakuu,
Nachukua nafasi hii kuwashukuru wale wote waliacha kuvaa vimawigi. Kwanza mlikuwa hampendezi, hata sijui nani alikuwa kawafundisha.
Baada ya kuachana na mawigi, wengi huwa...
Hamjamboni,
kwa kweli kwa moyo mweupe naomba sana nikushukuru mwana JF Evelyn Salt. katika thread moja ya lotion ipi nzuri isiyochubua.
kuna sehemu ulicomment kuhusu kutumia mafuta ya mawese na...
Kwa sasa vitambi sio kwa wanaume pekee bali hata hawa jinsia ya upande wa pili nao wametupokea tena kwa kasi nguvu na shauku na wanakuja kwa kasi sana nowdays.
Kulikuwepo na fedheha nyingi toka...
Habari za mchana waungwana,
Huwa najiuliza huyu aliyevumbua bra aliwaza nini? Hebu fikiria kusingekuwa na bra hivi tungeishije wanawake...
Yaani bila bra wengine tusingetoka ndani...
Kudos kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.